Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1953 results for Charity James :

  1. Kennedy Musonda atua Israel

    SIKU moja baada ya kuwaaga mashabiki wa Yanga baada ya kumaliza mkataba, mshambuliaji Kennedy Musonda amejiunga na Hapoel Ramat Gan inayoshiriki Ligi Daraja la Pili Israel maarufu kama Liga Leumit.

    MUSONDA Pict
  2. Musonda aaga rasmi mashabiki Yanga

    SIKU chache baada ya Mwanaspoti kuripoti kuwa mshambuliani, Kennedy Musonda hatakuwa sehemu ya kikosi cha Yanga kwa msimu ujao wa 2025/26 mwenyewe ameibuka na kuwaaga mashabiki na wanachama wa...

  3. Nicholas Gyan aingia anga za Pamba Jiji

    PAMBA Jiji imeonyesha nia ya kunasa saini ya winga wa zamani wa Fountain Gate, Mghana, Nicholas Gyan kwa ajili ya kuwapa huduma yake msimu ujao 2025/26.

    GYAN Pict
  4. PRIME Simba yamganda Pogba wa Zenji

    WATANI wa jadi wa soka nchini, Simba na Yanga wameendelea ushindani wao nje ya uwanjani kwa kuamua kuvamia visiwani Zanzibar na hususani katika klabu ya Mlandege kwa ajili ya kubeba viungo...

    POGBA Pict
  5. PRIME Musonda avunja ukimya Yanga

    HAKUNA ubishi kwamba maisha ya mshambuliaji wa Kennedy Musonda ndani ya Yanga yamefikia tamati baada ya kuitumikia timu hiyo kwa misimu miwili na nusu, lakini mwenyewe ameamua kuvunja ukimya kwa...

    MUSONDA Pict
  6. Mangalo, Mtibwa bado kidogo tu

    BAADA ya kukaa nje ya uwanja msimu mzima akiuguza jeraha la goti, beki wa zamani wa Biashara United na Singida Foutain Gate, Abdulmajid Mangalo yupo kwenye hatua za mwisho kumalizana na Mtibwa...

    MANGALO Pict
  7. Casemiro: Fundi mwingine wa boli aliyevuka bahari

    MOJA ya nafasi ambayo Yanga msimu ujao lazima kuwe na ingizo jipya ni nafasi ya kiungo mkabaji ambayo inaelezwa kuwa hesabu zimeanzia kwa kiungo wa Mlandege.

  8. PRIME Ecua amtikisa Sowah Yanga

    SIKU moja baada ya Mwanaspoti kuripoti kuwa huenda straika Celestin Ecua akatua na kocha mpya wa timu hiyo anayekuja kuchukua mikoba ya Miloud Hamdi, mambo yanadaiwa kuonekana kwenda vizuri huku...

  9. PRIME Msauzi ashikilia hatma ya Aziz KI Wydad

    BAADA ya kucheza dakika 11 kwenye mechi mbili za Kombe la Dunia la Klabu dhidi ya Manchester City na Juventus, kiungo mshambuliaji wa Wydad, Stephane Aziz KI huenda asiwe sehemu ya kikosi hicho...

  10. Ibenge awatega mastaa Azam, afichua usajili atakaoufanya

    KOCHA Mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge amesema atafanya usajili itakapohitajika, lakini anaamini kikosi kilichopo ni bora kutokana na kumaliza nafasi ya tatu na kupata nafasi ya ushiriki michuano...

Page 1 of 196

Next