Emilia na De Paul watikisa urafiki wa mastaa Argentina UJUMBE wa simu ya mkononi unaodaiwa kutoka kwa Emilia Mernes kwenda kiungo nyota wa Inter Miami na Argentina, Rodrigo de Paul umevunja urafiki na Tini Stoessel, baada ya kuonekana wawili hao...
Kompany chaguo kuu kurithi mikoba ya Guardiola MANCHESTER City wameshauriwa kwamba Vincent Kompany ndiye mtu sahihi wa kumrithi Pep Guardiola iwapo kocha huyo Mhispaniola ataamua kuondoka mwishoni mwa msimu huu baada ya kudumu katika kikosi...
Mabao mawili ya Ronaldo yaibeba Al Nassr dhidi Najma MSHAMBULIAJI wa Al Nassr ya Saudi Arabia, Cristiano Ronaldo alirejea juzi kuiokoa timu yake dhidi ya aibu iliyoanza kuiandama na kuongeza matumaini sambamba na kuboresha rekodi zake katika Ligi...
Manchester United yafikiria kumuuza Bruno Fernandes HATMA ya nahodha wa Manchester United, Bruno Fernandes, 31, bado ni kizungumkuti wakati huu dirisha la usajili la majira ya kiangazi likikaribia.
Wembanyama anavyopita njia ya LeBron HAKUNA ubishi kuwa Victor Wembanyama ni kati ya wachezaji chipukizi wanaoibeba sura mpya ya NBA akivunja rekodi kibao na kuonyesha bora kinachowafanya baadhi ya wachambuzi kumlinganisha na...
Man United mpya; Carrick aibadili gia angani MANCHESTER United ipo kwenye njia nzuri ya kurejea Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu ujao baada ya mabadiliko makubwa waliyoonyesha chini ya kocha wa muda Michael Carrick.
MBIO ZA NJIWA; Unalipa kiingilio ndiyo utazame burudani WAKATI baadhi ya jamii wakimwona ndege aina ya Njiwa kama kitoweo, wengine mapambo, sehemu nyingine mambo ni tofauti.
Maswali tata kwa England ya Tuchel kabla ya Kombe la Dunia WAKATI dunia ya soka ikisubiri kwa hamu fainali za Kombe la Dunia 2026, macho mengi yameelekezwa kwa timu ya taifa ya England, ambayo kwa miaka ya karibuni imekuwa ikipewa nafasi kubwa ya kufanya...
FIFA yapandisha bei ya tiketi Kombe la Dunia 2026 SHIRIKISHO la Soka Duniani, FIFA, limeongeza bei ya juu ya tiketi za fainali ya Kombe la Dunia 2026 hadi Dola 10,990 (zaidi ya Sh27 milioni za Kitanzania), hatua iliyokuja wakati wa kufunguliwa...
Rio Ferdinand aipa ujanja Manchester United NGULI wa zamani wa Manchester United, Rio Ferdinand, ameishauri klabu hiyo kuweka nguvu kubwa katika usajili wa viungo wawili kwenye dirisha lijalo la majira ya joto, akisisitiza pia kuongeza...