Novatus aipeleka Stars mapumziko kifua mbele BAO la Frikiki ya moja kwa moja lililofungwa na kiungo Novatus Dismas dakika ya tisa limetosha kuipeleka mapumziko timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ ikiongoza kwa bao 1-0 dhidi ya...
Sababu mechi ya Stars kuchelewa hii hapa Kumetokea hali ya sintofahamu baada ya mechi ya Taiga Stars dhidi ya Afrika ya Kati kuchelewa kuanza kama ambavyo ilivyopangwa.
Djuma, Makambo, Moloko, live kwa Mkapa NYOTA watatu wa Yanga, Wakongomani Djuma Shaban, Herriter Makambo na Jesus Moloko ni miongoni mwa watazamaji waliopo Uwanja wa Benjamin Mkapa kutazama mechi ya Kirafiki ya Kimataifa kati ya timu ya...
Mnoga, Starkie waanza Taifa Stars KOCHA mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania, ‘Taifa Stars’ ametoa kikosi kitakachoanza kwenye mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Afrika ya Kati huku akiwaanzisha makinda wawili Haji Mnoga...
Baada ya miaka 19 ya Sauti za Busara yafikia mwisho Baada ya miaka 19 ya kusherehekea utamaduni na muziki wa Kiafrika, pazia la sauti za Busara linafungwa.
HISIA ZANGU: Manula analipa uwekezaji wetu kwake kwa usahihi TUANZE na wapi? kuhusu Aishi Manula au namna ambavyo kundi la Simba limekaa baada ya Wekundu wa Msimbazi kuambulia kichapo cha mabao 3-0 pale Benin kutoka kwa wababe wa soka la Ivory Coast, Asec...
Opare Collins...Mayele, Morisson acha kabisa Young Killer anaamini mama’ke ndiye alimtabiria makubwa anayoyafanya hadi leo jambo ambalo ni sawa na mshambuliaji wa Biashara United, Mghana Opare Collins (21).
ASEC walitisha, Manula balaa WAWAKILISHI pekee kutoka Afrika Mashariki na Kati kwenye Kombe la Shirikisho Afrika, Simba baada ya kupoteza ugenini nchini Benin dhidi ya Asec Mimosas kwa mabao 3-0, mechi ya mwisho...
Tanzania Prisons tatizo lipo hapa! STORI kubwa vijiweni kwa sasa kwa wadau na mashabiki wa soka jijini Mbeya ni kuhusu matokeo mabaya iliyonayo Tanzania Prisons kwenye Ligi Kuu, huku kila mmoja akiwa na mawazo yake juu ya...
Steven Nyerere agoma kung'oka bila barua Wakati sakata la kumtaka msanii Steven Mengele maarufu Steve Nyerere, kujiuzulu nafasi ya usemaji wa Shirikisho la Muziki Tanzania (SMT), mwenyewe amesema hatojiuzulu hadi aandikiwe barua na...