Wanakaba hadi aibu YANGA inaendelea na mazoezi yake hapa kisiwani Pemba, tayari kwa kuwavaa watani wao Simba kesho Jumamosi, lakini katika mazoezi yao ya juzi jioni na jana Alhamisi makocha Hans Pluijm na Boniface...
Anayefuata anakula tano, ili Simba watie akili UONGOZI wa Yanga umeridhishwa na kiwango cha timu yao lakini bosi mmoja ambaye kitaaluma ni kocha wa soka katoa kauli moja itakayowatisha wapinzani wowote watakaokutana na kikosi chao katika...
UOZO : Mdudu anavyolitafuna soka la Tanga HALI ya soka la Tanga ni tete, tena siyo kitoto. Licha ya uwepo wa timu tatu zinazoshiriki Ligi Kuu kutoka jijini hapa, bado hali ya soka si nzuri kwani timu hizo zimekosa ushindani na hamasa ya...
Yanga yawaficha Mzimbabwe, Mtogo MASHABIKI wa Simba waliopo Zanzibar hawawezi kuiona tena Yanga hivi karibuni labda kwenye mapumziko ya mwisho wa mwaka.
Usajili umewatoa nishai kweli KUNA baadhi ya mastaa wa timu za Ligi Kuu sasa matumbo yao yanawaka moto. Hawaamini kabisa kinachotokea katika maisha yao ya soka.
Yanga, Azam zazidisha uzungu vikosini mwao KINACHOFANYIKA Yanga na Azam ni uzungu na weledi wa aina yake. Matokeo ya furushi lililomwagwa kwenye usajili wao yameanza kuonyesha jinsi ufundi wa kizungu unavyoweza kufanya kazi. Sasa maisha...
Yanga yazidisha uzungu KINACHOFANYIKA Yanga na Azam ni uzungu na weledi wa aina yake. Matokeo ya furushi lililomwagwa kwenye usajili wao yameanza kuonyesha jinsi ufundi wa kizungu unavyoweza kufanya kazi. Sasa maisha...
Waafrika walivyoangusha dhoruba raundi ya kwanza England JEURI ya Wazungu dhidi ya wachezaji wa Afrika inazidi kupungua. Robo ya mabao yaliyofungwa katika raundi ya kwanza ya Ligi Kuu England iliyoanza wikiendi iliyopita yalifungwa na wachezaji kutoka...
Kama Msuva,Twite benchi, mnatokaje? SIKIA hii kwanza. Golini msimamishe Dida, kulia mweke Twite, kushoto Oscar Joshua, katikati waweke Rajab Zahir na Cannavaro, mido pale wasimamishe Said Makapu na Salum Telela. Pembeni sasa...
STRAIKA WA MWANASPOTI : Uhondo wa EPL umeanza tutarajie nini? HATIMAYE Ligi Kuu ya England (EPL) imeng’oa nanga na kuwapa fursa mashabiki kote duniani kurejea kwenye runinga zao ili kuifuatilia. Ligi hii inawafuasi wengi duniani kote, na hata ilipoanza...