Kumekucha Arsenal, Arteta kushusha vyuma Januari KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta amekiri kwamba atafanya jambo kwenye dirisha la usajili la Januari ili kukiongezea nguvu kikosi chake.
Enzo Maresca aanza kutajwa Man City Kocha wa Chelsea, Enzo Maresca, ametajwa kama kocha ambaye anaweza kuchukua nafasi ya Pep Guardiola endapo Mhispania huyo ataondoka katika kikosi cha Manchester City msimu ujao.
Morocco yaongoza mbio za ubingwa AFCON 2025 Kompyuta mahiri ya takwimu ya Opta Supercomputer, imetoa utabiri wa mataifa yenye nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025, mashindano yatakayoanza wikiendi hii...
Mbappe kaweka shilingi yake kwa Morocco SUPASTAA wa soka, Kylian Mbappe anaamini chama analochezea swahiba wake, Achraf Hakimi ambako ni Morocco ndilo litakalonyakua ubingwa wa AFCON.
Neymar anaandaliwa akakipige Kombe La Dunia 2026 NYOTA wa Brazil, Neymar amefanyiwa matibabu maalum ya goti wakati wa mapumziko ya kimataifa ili kumweka katika hali bora kuelekea Fainali za Kombe la Dunia 2026.
Bayern Munich yatuliza mashabiki majeraha ya Kane BAYERN Munich imetoa taarifa njema kuhusu mshambuliaji wao tegemeo, Harry Kane, huenda akarejea uwanjani mapema kabla ya mechi muhimu dhidi ya Real Madrid katika robo fainali ya Ligi ya Mabingwa...
Cardi B awasapraizi mashabiki wake RAPA mwenye tuzo ya Grammy, Cardi B amewafanyia sapraizi mashabiki wake duniani kwa kuianika picha ya kwanza ya mtoto mpya aliyemzaa na nyota wa NFL, Stefon Diggs.
Ronaldo aonyesha ubora: ‘Bicycle Kick’ yaleta ushindi wa 4–1 kwa Al-Nassr Mshambuliaji mkongwe Cristiano Ronaldo ameendelea kudhihirisha kuwa bado ana ubora wa hali ya juu baada ya kufunga bao maridadi la ‘Bicycle Kick’ katika ushindi wa 4–1 wa Al-Nassr dhidi ya...
Man United yaichapa Arsenal kwao SHUTI la ajabu la Matheus Cunha lilitosha kuizima Arsenal kwao uwanjani Emirates wakati Manchester United ilipoibuka na ushindi wa mabao 3-2 katika mchezo wa Ligi Kuu England uliofanyika Jumapili.
Lookman afurahia changamoto kubwa MSHAMBULIAJI wa Nigeria, Ademola Lookman, amesema imani ya timu yake inaongezeka kila siku katika Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 huku Super Eagles wakijitayarisha kukutana na Algeria...