Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8633 results for Mwandishi :

  1. Arteta atumia AI kusaka taji la EPL

    KOCHA Mikel Arteta anaamini Akili Mnemba (AI) itaichagiza Arsenal katika mpango mkakati wa kushinda taji la Ligi Kuu England msimu huu.

  2. Nagelsmann amkingia kifua Wirtz, aishutumu Liverpool

    KOCHA wa Ujerumani, Julian Nagelsmann amewashutumu wachezaji wa Liverpool wanapaswa kuboresha viwango vyao ili watumie vyema nafasi za mashambulizi zinazotengenezwa na kiungo wake, Florian Wirtz.

    Witz Pict
  3. 34 zatangulia Kombe la Dunia 2026

    Nchi 34 zimejihakikishia kushiriki fainali za Kombe la Dunia 2026 zitakazounguruma nchini Mexico, Marekani na Canada, baada ya kukamilisha mchakato wa kufuzu.

    WC Pict
  4. Nyota Aston Villa alizwa mimba kutoka

    NYOTA wa timu ya taifa la England, Bo Kearns kwa upande wa wanawake, amefichua kupoteza mtoto, ikiwa ni wiki chache baada ya kutangaza mjazito.

    NYOTA Pict
  5. Simba yavuna pointi tatu, yaibanjua Coastal Union

    Simba imefanikiwa kusogea hadi nafasi ya pili kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara baada ya kuibuka na uahindi wa mabao 2-0 dhidi ya Coastal Union.

  6. Bayern Munich yafukuzia rekodi Bundesliga

    MABINGWA watarajiwa Bayern Munich inaendelea kuwasha moto kwenye Bundesliga ikisaka kuweka rekodi mpya ya mabao msimu huu.

    BAYERN Pict
  7. De Zerbi: Nipo tayari kushuka na Spurs

    KOCHA mpya wa Tottenham Hotspur, Roberto De Zerbi amesema yuko tayari kubaki na klabu hiyo msimu ujao hata kama itashuka daraja mwishoni mwa msimu huu.

    SPURS Pict
  8. Kisa kuachika, JLO ataka kujiua

    MWANAMUZIKI wa Marekani, Jennifer Lopez (JLO) amesema aliwahi kufikia hatua ya kutaka kujiua baada ya kuachana na aliyekuwa mume wake, Marc Anthony mwaka 2014.

  9. Pep Guardiola, Semenyo lolote linatokea

    PEP Guardiola atakuwa bize dirisha la Januari huku staa Antoine Semenyo akiripotiwa kuwa kwenye orodha ya wachezaji inayopanga kuwasajili katika uhamisho huo wa majira ya baridi huko Ulaya.

    PEP Pict
  10. Owen: Shearer? Sina stori naye

    MICHAEL Owen amesema amekuwa hazungumzi na Alan Shearer baada ya kudai alifanya makosa kumkosoa wakati alipokuwa akicheza chini yake huko Newcastle United.

    OWEN Pict
Previous

Page 68 of 864

Next