Arteta atumia AI kusaka taji la EPL KOCHA Mikel Arteta anaamini Akili Mnemba (AI) itaichagiza Arsenal katika mpango mkakati wa kushinda taji la Ligi Kuu England msimu huu.
Nagelsmann amkingia kifua Wirtz, aishutumu Liverpool KOCHA wa Ujerumani, Julian Nagelsmann amewashutumu wachezaji wa Liverpool wanapaswa kuboresha viwango vyao ili watumie vyema nafasi za mashambulizi zinazotengenezwa na kiungo wake, Florian Wirtz.
34 zatangulia Kombe la Dunia 2026 Nchi 34 zimejihakikishia kushiriki fainali za Kombe la Dunia 2026 zitakazounguruma nchini Mexico, Marekani na Canada, baada ya kukamilisha mchakato wa kufuzu.
Nyota Aston Villa alizwa mimba kutoka NYOTA wa timu ya taifa la England, Bo Kearns kwa upande wa wanawake, amefichua kupoteza mtoto, ikiwa ni wiki chache baada ya kutangaza mjazito.
Simba yavuna pointi tatu, yaibanjua Coastal Union Simba imefanikiwa kusogea hadi nafasi ya pili kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara baada ya kuibuka na uahindi wa mabao 2-0 dhidi ya Coastal Union.
Bayern Munich yafukuzia rekodi Bundesliga MABINGWA watarajiwa Bayern Munich inaendelea kuwasha moto kwenye Bundesliga ikisaka kuweka rekodi mpya ya mabao msimu huu.
De Zerbi: Nipo tayari kushuka na Spurs KOCHA mpya wa Tottenham Hotspur, Roberto De Zerbi amesema yuko tayari kubaki na klabu hiyo msimu ujao hata kama itashuka daraja mwishoni mwa msimu huu.
Kisa kuachika, JLO ataka kujiua MWANAMUZIKI wa Marekani, Jennifer Lopez (JLO) amesema aliwahi kufikia hatua ya kutaka kujiua baada ya kuachana na aliyekuwa mume wake, Marc Anthony mwaka 2014.
Pep Guardiola, Semenyo lolote linatokea PEP Guardiola atakuwa bize dirisha la Januari huku staa Antoine Semenyo akiripotiwa kuwa kwenye orodha ya wachezaji inayopanga kuwasajili katika uhamisho huo wa majira ya baridi huko Ulaya.
Owen: Shearer? Sina stori naye MICHAEL Owen amesema amekuwa hazungumzi na Alan Shearer baada ya kudai alifanya makosa kumkosoa wakati alipokuwa akicheza chini yake huko Newcastle United.