Whozu, Billnass na Mbosso wafungiwa na Basata Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) limemfungia kujihusisha na sanaa msanii Whozu na kumtaka kushusha mara moja video ya wimbo wake wa ‘Ameyatimba’ kwenye digital platform zote kutokana na maudhui...
Azam yapaa kileleni ikigawa dozi kwa Ihefu Azam FC imepaa kileleni baada ya kuichapa Ihefu mabao 3-1 leo Highland Estate, Mbeya. Mabao ya Azam yamefungawa na Feisal Salum dakika ya 34 na mawili yakifungwa kipindi cha pili na Sospeter...
Arajiga pilato wa Simba, Yanga Kwa Mkapa kesho WAKATI homa ya pambano la watani wa jadi ikianza kupanda kabla ya timu hizo kuvaana Jumapili ya kesho Novemba 5, Bodi ya Ligi imetaja waamuzi watakaopewa pambano hilo litakalopigwa Uwanja wa...
Aziz Ki mchezaji bora Oktoba akiwashinda Phiri, Maxi KAMATI ya tuzo ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imemtangaza mchezaji wa timu ya Yanga, Stephane Azizi Ki kuwa mchezaji bora wa Ligi Kuu kwa mwezi Oktoba akiwashinda Maxi Nzengeli wa Yanga na...
Mazembe yatanguliza mguu mmoja nusu fainali AFL TP Mazembe imetanguliza mguu mmoja mbele kwenye nusu fainali African Football League baada ya kuichapa Esperance ya Tu-nisia bao 1-0 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa Bao la Mazembe limefungwa na...
Kisa matokeo mabovu Namungo, Kaze ajiuzulu Baada ya kupoteza pointi tatu jana dhidi ya Singida Big Stars kwa kichapo cha mbao 3-2, Kocha Mkuu wa Namungo, Cedrick Kaze amejiuzulu kupitia taarifa aliyoindika kwenye akaunti yake ya...
Kisa Simba, Dieng, Tau wapigwa 'stop' Ahly Zikiwa zimebaki siku 10 kwa Simba kuwavaa mabingwa wa Afrika Al Ahly ya Misri kwenye Africa Super League Oktoba 20, timu hiyo imewazuia wachezaji wake wawili Percy Tau wa Afrika Kusini na Aliou...
Aliyeipa USM Alger ubingwa mbele ya Yanga CAFCC ajiuzulu Ikiwa imepita miezi kadhaa Wana-Yanga wakiwa na kumbukumbu mbaya baada ya kupoteza Kombe la Shirikisho Afrika, Kocha Mkuu wa USM Alger ya Algeria, Abdelhak Benchikha 959) ametangaza...
Ihefu kumbe wepeesi, yapigwa Dar kiulaini IHEFU SC imeshindwa kushikilia bomba baada ya jioni hii ikiwa jijini Dar es Salaam kupigwa bao 1-0 na KMC katika mfululizo wa mechi za Ligi Kuu Bara, ikiwa ni siku chache tu tangu itoke kuitoa...
Wababe wa Yanga, Singida chungu kimoja Shirikisho Wale wababe wa Yanga na Singida Big Stars katika Kombe la Shirikisho Afrika USM Alger, Future wamepangwa kundi A kwenye mashindano hayo yatakayotimua vumbi Novemba 26 pamoja na Super Sport Unied...