Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Mazembe yatanguliza mguu mmoja nusu fainali AFL

TP Mazembe imetanguliza mguu mmoja mbele kwenye nusu fainali African Football League baada ya kuichapa Esperance ya Tu-nisia bao 1-0 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa

Bao la Mazembe limefungwa na Cheick Fofana dakika ya 11 na sasa wataenda nayo Tunisia kwenye mechi ya marudiano Oktoba 25

Pale Nigeria saa 3:00 usiku kinawaka pia wakati Enyimba watakapovaana na Wydad Casablanca ya Morocco.

Mazembe inakuwa ni timu ya pili kupata ushin-di kwenye AFL ambapo jana Mamelodi Sun-downs ilipata ushindi ugenini wa mbao 2-0 na  Petro De Luanda uwanja wa Estádio 11 de Novembro, Angola.