Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Aliyeipa USM Alger ubingwa mbele ya Yanga CAFCC ajiuzulu

Ikiwa imepita miezi kadhaa Wana-Yanga wakiwa na kumbukumbu mbaya baada ya kupoteza Kombe la Shirikisho Afrika, Kocha Mkuu wa USM Alger ya Algeria, Abdelhak Benchikha 959) ametangaza kujiuzulu.

USM Alger imethibitisha taarifa hiyo jana Jumatatu Oktoba 9, 2023 katika mtandao yake wa kijamii huku sababu kocha huyo kujiuzulu zikiwa hazijawekwa wazi.

Benchikha ameipa timu hiyo mafanikio makubwa ikiwemo Kombe la Shirikisho Afrika 2022/2023 pamoja mbele ya Yanga pamoja na ubingwa wa CAF Super Cup wakiifunga Al Ahly licha ya kutomaliza nafazi za juu katika ligi ya Algeria kwa msimu uliopita.