Bayern kufanya pati ya ubingwa Jumapili MIAMBA ya soka la Ujerumani, Bayern Munich wataungana na mashabiki wao katika sherehe kubwa ya kutwaa ubingwa wa Bundesliga 2025/26 itakayofanyika Marienplatz, Jumapili, Mei 17, 2026
City yabeba FA, bado Premier Semenyo aliendelea kuwa tishio kwa Chelsea na baadaye alipoteza nafasi nyingine nzuri baada ya kumpita Marc Cucurella kabla ya kupiga shuti lililotoka nje.
Arsenal yapania kumaliza kazi ya ubingwa dhidi ya Man City KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta, amewataka wachezaji wake kutumia nafasi walizonazo kumaliza kazi ya kutwaa mataji msimu huu huku vita ya ubingwa wa Ligi Kuu England ikiendelea kupamba moto dhidi...
Mainoo akumbuka magumu United KIUNGO wa Manchester United, Kobbie Mainoo, amefunguka kwa mara ya kwanza kuhusu changamoto alizopitia baada ya kupoteza nafasi kikosini chini ya kocha wa zamani Ruben Amorim kabla ya kurejea...
Arbeloa amfagilia njia Mourinho KOCHA wa muda wa Real Madrid CF, Alvaro Arbeloa amezua mjadala mpya baada ya kusema wazi kuwa kwa mtazamo wake kama 'Madridista' kocha bora zaidi katika historia ya klabu hiyo ni José Mourinho.
Kipigo chaivuruga Liverpool LONDON, ENGLAND: JAHAZI la majogoo wa jiji Liverpool limejikuta likizama zaidi baada ya kupokea kichapo cha mabao 4-2 dhidi ya Aston Villa juzi, Ijumaa kilichoibua tena maswali mazito kuhusu...
Barcelona yatangaza kuachana na Lewandowski SIKU chache baada ya Barcelona kutangazwa mabingwa wa Ligi Kuu Hispania (LaLiga), wamesema mshambuliaji wao Robert Lewandowski ataondoka klabuni mwishoni mwa msimu huu baada ya mkataba wake wa...
Liverpool, Tottenham macho kodo kwa Camavinga KIUNGO wa Real Madrid na Ufaransa, Eduardo Camavinga, 23, ambaye hajaitwa katika kikosi cha timu ya taifa hilo kitakachoshiriki Kombe la Dunia, anadaiwa kuwa tayari kuondoka dirisha lijalo la...
Boli la Arsenal na utamu wa ubingwa EPL msimu huu BAADA ya miaka 22 ya ukame wa mataji, Arsenal wako karibu kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu England unaokuja kutokana na mtindo wao wa mchezo ambao huenda usiwe maarufu kwa wengi, lakini mafanikio hayo...