Yanga kwa magoli! Wamepoteza mbaya YANGA leo Jumamosi itakuwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kucheza mchezo wa marudiano ya Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya awali dhidi ya Cercle de Joachim ya Mauritius, lakini katika...
Unabisha? Yanga 4 Simba 2 ULE muda wa lawama umewadia! Simba na Yanga zinatarajiwa kuvaana wikiendi hii katika pambano la Ligi Kuu Tanzania Bara. Pambano ambalo wadau wa klabu hizo huwa roho juu kwa muda wote wa dakika 90.
Simba noma Dar mpaka mkoa HII sasa sifa. Licha ya kupunguzwa dozi zake, lakini Simba jana Jumapili iliendeleza wimbi la ushindi ikishinda mechi ya sita mfululizo tangu iwe chini ya Kocha Jackson Mayanja, baada ya kuichapa...
Kiiza, Ajib na Kiongera mbona wanakamua freshi KOCHA, Jackson Mayanja, amewapa masharti wachezaji wake kwa kuwaambia anataka washindane, atakayeanza akipiga mabao matatu, atakayeingia apige matatu vilevile.
Wachezaji 7 Simba wamerogwa? TAKWIMU hazidanganyi. Hali ya washambuliaji wa Simba inaonekana kuwa mbaya katika kipindi cha mwezi mmoja uliopita ambapo timu hiyo imecheza michezo minane ya mashindano ambapo imeshinda mitatu tu.
Simba yaamua kiume BAADA ya kujishtukia kuwa imechemka sana kwenye usajili wa msimu huu, klabu ya Simba imeamua kufanya kwelina kama mipango yao itakaa vyema na kufanikiwa, basi ni lazima wapinzani wao wa Ligi Kuu...
ROHO NYEUPE: Kwa Simba hii, hata Hans Pluijm angelaumiwa SIMBA tayari imeanza mambo yake. Baadhi ya viongozi wa timu hiyo wanadai kuwa timu yao inacheza chini ya kiwango, licha ya kwamba inapata matokeo ya ushindi.
Taifa Stars mpaka raha MNATAKA nini? Tunataka Bao. Mnataka Nini? Tunataka bao. Ndivyo Taifa Stars ilivyowapa raha Watanzania jana Jumatano baada ya kupata ushindi muhimu nyumbani dhidi ya The Flames ya Malawi katika...
Simba ilikata roho kistaarabu, kukabaki Kiyangayanga DAKIKA ya 85, kamera za Azam TV zilimvuta kwa karibu Crescentius Magori, mmoja kati ya marafiki wa Simba. Alikuwa amekasirika.
Msenegali apewa mtihani MAMBO ndiyo kwanza yanaanza Msimbazi, atakayeshindwa itakuwa imekula kwake mazima. Kocha Mkuu wa Simba, Dylan Kerr ameweka wazi jukumu zito la straika Msenegali Pape N’Daw baada ya mwezi mmoja wa...