Ushindi wampa jeuri Mkenya Singida Black Stars USHINDI wa mabao 3-1 iliyoupata Singida Black Stars ikiwa ugenini dhidi ya Mtibwa Sugar, umempa jeuri kocha Mkenya, David Ouma akiamini kwamba umeiongezea timu morali kwa ajili ya mechi ijayo...
Adebayor ainyima ubingwa Arsenal, ataja sababu za kuipa Man City ALIYEKUWA nahodha na mshambuliaji timu ya taifa ya Togo, Emmanuel Adebayor, amesisitiza kuwa Manchester City itaibuka bingwa wa taji la Ligi Kuu ya England msimu huu, licha ya Arsenal kuongoza...
Antoine Griezmann kuondoka Atletico Madrid MSHAMBULIAJI nyota wa Atlético Madrid, Antoine Griezmann, anatarajiwa kuachana na klabu hiyo ya Hispania, akihusishwa kuhamia Orlando City ya Marekani ambayo inaendelea na mazungumzo ya kumsajili...
Nyota Vijana aikumbuka Dar City WAKATI wachezaji wakielezea ugumu wa michezo waliyocheza katika Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) 2025, nyota wa Vijana (City Bulls), Leonard Andrea amesema mchezo dhidi ya Dar City...
Gyokeres: Kile kikao cha moto kimesaidia STRAIKA, Viktor Gyokeres amedai kikosi cha Arsenal kilichokuwa kimevunjika moyo kilizidi kuwa karibu zaidi baada ya kikao cha moto cha ndani cha ndani walichowekana mastaa wa miamba hiyo ya...
Heskey ataja wa kumrithi Mo Salah NYOTA wa zamani wa Liverpool, Emile Heskey, ametaja wachezaji anaowaona wanaweza kuchukua nafasi ya Mohamed Salah na kusema kuwa nyota wa Paris Saint-Germain, Khvicha Kvaratskhelia, “ndiye chaguo...
Shabiki England aweka nyumba rehani SHABIKI lialia wa timu ya taifa ya England, Andy Milne, amefichua kuwa yuko katika mchakato wa kuuza nyumba ili kupata pesa za kufanikisha safari ya kwenda kutazama mashindano ya Kombe la Dunia...
‘Trent hajaitwa Lions, ila acheze pale mbele’ BEKI wa kulia wa Real Madrid, Trent Alexander-Arnold ametajwa kwamba anafaa kuwa katika nafasi ya ushambuliaji ya kwenye kikosi cha timu ya taifa ya England (The Lions) kwa ajili ya fainali za...
Steven Gerrard aikosoa Liverpool baada ya kipigo cha Wolves Nguli wa zamani wa Liverpool, Steven Gerrard, ameikosoa vikali klabu yake hiyo kufuatia kipigo cha mabao 2-1 walichopata dhidi ya Wolves katika mechi ya Ligi Kuu England iliyopigwa jana usiku...
Mbappe njiani kuvunja rekodi ya Ronaldo UCL STRAIKA wa Real Madrid, Kylian Mbappe yupo karibu kiasi gani kuvunja rekodi ya mabao ya msimu mmoja ya Cristiano Ronaldo katika Ligi ya Mabingwa Ulaya.