Real Madrid yaruka kimanga kwa Olise Real Madrid wamekanusha taarifa zilizokuwa zikiwahusisha na winga wa Bayern Munich na timu ya taifa ya Ufaransa, Michael Olise.
Norway yasafiri na tani moja ya vyakula vyao Kombe la Dunia Timu ya Taifa ya soka ya Norway haikuleta tu kikosi cha wachezaji na mbinu za uwanjani kwenye fainali za Kombe la Dunia 2026 zinazoendelea sasa nchini Marekani, Canada, na Mexico; wameleta na...
Morocco ilivyochezesha diaspora dhidi ya Brazil Timu ya taifa ya Morocco (Atlas Lions) imeandika rekodi ya kipekee na ya kihistoria katika fainali za Kombe la Dunia 2026, baada ya kuwa ya kwanza duniani kushusha kikosi cha kwanza (starting...
Aliyopitia Suarez Uruguay ikilazimishwa sare na Cape Verde Nyota wa zamani wa Uruguay, Luis Suarez alijikuta katika wakati mgumu akiitazama timu yake ya taifa ikicheza dhidi ya Cape Verde.
Beckham amnasa Casemiro Miami KIUNGO wa kimataifa wa Brazil, Carlos Henrique Casimiro maarufu Casemiro anatarajiwa kujiunga na Inter Miami ambayo mmoja wa wamiliki wake ni staa wa zamani wa England na Manchester United, David...
Ronaldo aibua jipya mazoezini SIKU chache baada ya kuibua mjadala kutokana na ufanisi wake katika mechi ya kwanza ya Kombe la Dunia 2026, straika wa Argentina, Cristiano Ronaldo amejikuta katika vinywa vya mashabiki wa soka...
Doku kuikosa Iran, kauli juu ya mtoto yatikisa WAKATI Ubelgiji ikijiandaa na mechi ya pili ya kundi G ya Kombe la Dunia, winga wa timu hiyo, Jeremy Doku ataukosa mchezo huo baada ya shirikisho la soka la nchi hiyo kutangaza kuwa anasumbuliwa...
Mechi tano za moto EPL 2026/27 JUZI, ratiba ya Ligi Kuu England kwa msimu wa 2026-27 ilitangazwa ambapo mechji zinatarajiwa kuanza Agosti 22, mwaka huu, huku vita ya kuwania ubingwa ikianza kuonekana mapema hata kabla ya...
Undav apiga mbili akitokea benchi, Ujerumani yafuzu mtoano Mshambuliaji aliyeingia akitokea benchi, Deniz Undav, ameibuka shujaa wa Ujerumani baada ya kufunga bao la ushindi katika dakika ya 90+4 na kuiongoza timu hiyo kufanya comeback ya kusisimua dhidi...
Mwamuzi Japan, Tunisia kuvaa jezi maalumu MWAMUZI wa Romania, Istvan Kovacs, atavaa jezi maalumu atakapochezesha mchezo wa Kombe la Dunia kati ya Japan dhidi ya Tunisia.