Je, akili ya De La Fuente itamzima Messi na Argentina? HATIMAYE pazia la Kombe la Dunia 2026 linashushwa kwa pambano la aina yake, ambapo mabingwa wa Ulaya, Hispania, watakutana na mabingwa watetezi wa dunia na Amerika Kusini, Argentina, katika...
Kikosi bora cha nusu fainali Kombe la Dunia NUSU fainali za Kombe la Dunia ziliandika simulizi mbili za kusisimua huku Hispania, Ufaransa, Argentina na England zikipigania tiketi ya kucheza mechi ya mwisho ya michuano hiyo.
Trump kushuhudia fainali ya Kombe la Dunia 2026 IKULU ya Marekani (White House) imethibitisha Rais Donald Trump atahudhuria fainali ya Kombe la Dunia 2026 kati ya Argentina na Hispania itakayochezwa Jumapili kwenye Uwanja wa New York/New Jersey.
Pochettino mguu mmoja nje Marekani BAADA ya kuiongoza Marekani kufika hatua ya 16 bora ya Kombe la Dunia 2026, Mauricio Pochettino anajiandaa kuachana na timu hiyo na kujiunga na mojawapo ya klabu za Ulaya.
Henry ampigia saluti Lionel Messi NGULI wa Ufaransa, Thierry Henry, ameshindwa kuficha hisia zake baada ya Lionel Messi kuiongoza Argentina kuichapa England mabao 2-1 na kutinga fainali ya Kombe la Dunia.
Jezi ya Pele yauzwa sh13 bilioni JEZI ya gwiji wa zamani wa soka duniani, hayati Edson Arantes do Nascimento ‘Pele’, imenunuliwa kwa kiasi cha Dola 4.9 milioni (Sh13 bilioni) katika mnada uliofanyika juzi Alhamisi, jijini New...
Shakira amsifia Messi, Antonela MWANAMUZIKI maarufu duniani, Shakira amempongeza nahodha wa Argentina, Lionel Messi kutokana na kiwango bora alichoonyesha katika ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya England uliowapeleka mabingwa...
William Saliba nje miezi mitano ARSENAL imepata pigo kubwa baada ya beki wake tegemeo, William Saliba, kuripotiwa kuwa huenda akakaa nje ya uwanja kwa miezi minne hadi mitano kutokana na majeraha ya mgongo.
Tuchel aja na ishu ya DNA KOCHA wa timu ya taifa ya England, Thomas Tuchel, ametetea maamuzi yake yaliyosababisha timu hiyo kuondolewa kwenye Kombe la Dunia, akisema tatizo halikuwa mbinu zake bali ni mtazamo wa wachezaji...
Tzolis bado kidogo tu kutua Arsenal Arsenal imefikia makubaliano na Club Brugge ya Ubelgiji kumsajili mshambuliaji wa kimataifa wa Ugiriki, Christos Tzolis, kwa ada ya Pauni 34 milioni.