Mbappe amkataa Mo Salah STAA wa Real Madrid, Kylian Mbappe anaamini Mohamed Salah si miongoni mwa wachezaji wanaoweza kusumbua katika tuzo za Ballon d'Or ya mwaka huu na amemtaja ni mchezaji gani anampa nafasi ya kuchukua.
Robo fainali Kombe la Dunia la klabu, mzigo upo hivi MASHINDANO ya Kombe la Dunia la Klabu 2025 inayofanyika Marekani yameingia hatua ya robo fainali, ambapo timu nane bora zinatarajiwa kupambana kujihakikishia nafasi ya kuwania tiketi ya nusu...
Rais Napoli ajitosa dili la Darwin Nunez RAIS wa Napoli, Aurelio De Laurentiis, anaripotiwa kuamua kuvaa gwanda mwenyewe na kuingia katika mazungumzo ya usajili wa straika wa Liverpool, Darwin Nunez ili kumsajili katika dirisha hili.
Trump kuibukia fainali ya Kombe la Dunia la Klabu Rais wa Marekani, Donald Trump amethibitisha kuwa atahudhuria fainali ya Kombe la Dunia la Klabu ya Fifa Jumapili huko New Jersey.
Musiala amuondolea lawama Donnarumma STAA wa Bayern Munich, Jamal Musiala amesema “hakuna wa kulaumiwa” baada ya kuvunjika mguu na kifundo cha mguu katika mechi ya robo fainali ya Kombe la Dunia la klabu dhidi ya Paris...
Santi Cazorla kulipwa kiduchu LaLiga KIUNGO fundi wa boli, Santi Cazorla amesaini mkataba wa mwaka mmoja wa kuichezea klabu yake ya ujanani Real Oviedo akiwa na umri wa miaka 40 na atalipwa mshahara mdogo zaidi kwenye La Liga.
Mashabiki Sporting wamgeukia Gyokeres MASHABIKI wa Sporting Lisbon wamepaza sauti zao kuhusiana na mshambuliaji wa timu hiyo, Viktor Gyokeres, ambaye anahusishwa kutaka kuondoka katika dirisha hili.
Joshua, Wilder ngoma inapigwa BONDIA Deontay Wilder anaweza kupigana na Anthony Joshua ‘AJ’ ikidaiwa kwamba majadiliano yamefikia hatua nzuri ili wawili hao wazichape hivi karibuni.
Sita hatarini Liverpool kisa Wirtz LIVERPOOL bado inaweza kujaribu kumjumuisha mmoja kati ya wachezaji wao sita kama sehemu ya ofa ili kuipata saini ya kiungo mshambuliaji wa Bayer Leverkusen, Florian Wirtz, 22, katika dirisha...
Amorim ana kazi ya kufanya Man United JUHUDI za Ruben Amorim kuifanya Manchester United icheze kwa mtindo wake zinaonekana kuwa na asilimia ndogo za kufanikiwa, kwani timu za akademi za mashetani wekundu hao bado zinatumia mfumo wa...