Ishu ya uwanja mpya Man United ni hivi ULE mpango wa ujenzi wa uwanja mpya wa klabu ya Manchester United umechukua sura mpya na inaelezwa kinachosubiriwa kwa sasa ni uwasilishwaji wa maombi ya mchoro wa mwisho serikalini kwa ajili ya...
Kompany chaguo kuu kurithi mikoba ya Guardiola MANCHESTER City wameshauriwa kwamba Vincent Kompany ndiye mtu sahihi wa kumrithi Pep Guardiola iwapo kocha huyo Mhispaniola ataamua kuondoka mwishoni mwa msimu huu baada ya kudumu katika kikosi...
Emilia na De Paul watikisa urafiki wa mastaa Argentina UJUMBE wa simu ya mkononi unaodaiwa kutoka kwa Emilia Mernes kwenda kiungo nyota wa Inter Miami na Argentina, Rodrigo de Paul umevunja urafiki na Tini Stoessel, baada ya kuonekana wawili hao...
Endrick apata habari njema, kuitwa baba NYOTA chipukizi wa Real Madrid, Endrick Felipe Moreira de Sousa maarufu kama Endrick (19), anayecheza kwa mkopo Olympique Lyon ya Ufaransa na mkewe Gabriely Miranda (23), wametangaza kuwa...
Tony Woodcock kupata medali ya Ulaya baada ya miaka 46 ya kusubiri MCHEZAJI wa zamani wa kimataifa wa England, Tony Woodcock, hatimaye anatarajiwa kupokea medali yake ya ushindi wa Kombe la Ulaya baada ya miaka 46 tangu aliponyimwa mwaka 1980 akiwa sehemu ya...
Mbappe apiga tizi kuiwahi Bayern NYOTA wa Real Madrid, Kylian Mbappé anatarajiwa kuanza katika mechi muhimu ya marudiano wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Bayern Munich utakaopigwa, Jumatano Aprili 15, 2026...
Premier League yajishtukia, yafuta ujumbe wa kuikebehi Spurs UONGOZI wa Ligi Kuu ya England, umelazimika kufuta ujumbe katika mitandao ya kijamii ulioonekana kuifanyia dhihaka klabu ya Tottenham Hotspur baada ya kipigo cha mabao 2-1 dhidi ya Fulham, jana...
Kylian Mbappe ajifunza udereva SUPASTAA Kylian Mbappe ameonekana akipata mafunzo ya kuendesha gari katika shule ya mafunzo ya magari ya jirani huko Hispania.
Man United yalalamikia ratiba Ligi Kuu England MANCHESTER United inaripotiwa kuwasilisha malalamiko Ligi Kuu England pamoja na kituo cha televisheni cha Sky Sports baada ya kukerwa na ratiba mpya ya mechi iliyotangazwa hivi karibuni.
Man United waambiwa Casemiro asiondoke NGULI wa Manchester United, Bryan Robson ameitaka klabu hiyo kubadilisha uamuzi wao kuhusu Casemiro na kumbakiza baada ya msimu huu, akisisitiza bado ni mchezaji bora ambaye anaweza kuongeza...