Liverpool yatoa ofa ya mwisho LIVERPOOL imeweka mezani ofa ya mwisho ya pauni 40 milioni kwenda Crystal Palace ili kumsajili beki Marc Guehi katika dirisha hili na ripoti zinaeleza haitatoa tena ofa nyingine endapo hiyo...
Dili la Rashford kujiunga Barcelona lakwama, Deco atajwa Hatma ya Marcus Rashford kujiunga na Barcelona msimu huu wa joto imeingia doa kufuatia ripoti kuwa mkurugenzi wa michezo wa klabu hiyo ya Hispania, Deco, ndiye kikwazo kikuu cha dili hilo kufanyika.
Sasa dili la Gyokeres lipo pazuri HATIMAYE, Arsenal imekubali kulipa ada ya Pauni 63.5 milioni ili kuinasa huduma ya straika wa Sporting Lisbon, Viktor Gyokeres.
Kiungo ghali akosa mechi Liverpool STAA ghali Ligi Kuu England, Florian Wirtz amekosa mechi ya kwanza ya klabu yake ya Liverpool ilipokipiga na Preston North End, ikiwa ni ya kuanza maandalizi ya pre-season.
Gyokeres ajifananisha na Haaland, Kane EPL WANASEMA kama hupaishwi, jipaishe mwenyewe. Ndicho anachokifanya straika, Viktor Gyokeres, baada ya kudai kwamba yeye ni mkali kama ilivyo kwa Erling Haaland na Harry Kane ndani ya uwanja.
Ishu ya Rashford, Barcelona ipo hivi NDOTO ya nyota wa kimataifa wa England na Klabu ya Manchester United, Marcus Rashford ya kutua Barcelona huenda ikatimia hivi karibuni baada ya miamba hiyo ya England kukubali kumtoa kwa mkopo...
Kisa Liverpool, Alexander Isak astopishwa KOCHA wa Newcastle United, Eddie Howe amefunguka alilazimika kumpa ruhusa straika wao Alexander Isak kutokuwepo katika mchezo wa kirafiki dhidi ya Celtic kutokana na presha kubwa ambayo mchezaji...
De Bruyne, Napoli kitu kimeeleweka KIUNGO Kevin De Bruyne anajiandaa kujiunga na Napoli kwa dili la mkataba wa miaka miwili baada ya kufikia makubaliano na mabingwa hao wa Italia.
Luka Modric, Milan wamalizana KIUNGO wa Real Madrid, Luka Modric anatarajiwa kufanyiwa vipimo vya afya na AC Milan mwezi ujao baada ya Kombe la Dunia la Klabu kumalizika.
Thomas Partey atoa ya moyoni KIUNGO wa Arsenal, Thomas Partey amefunguka kuhusu hatima yake baada ya kuonekana katika orodha ya wachezaji waliotangazwa kuwa huru na Arsenal.