Kocha mpya Kenya Police atamba kufuata nyayo za Ndayiragije
Kocha mpya wa Kenya Police FC, Dusan Stojanovic, ametamba kufuata nyayo za mtangulizi wake, Etienne Ndayiragije, kwa kuhakikisha anatetea ubingwa wa Ligi Kuu ya Kenya (KPL) msimu huu 2025-2026.