Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8787 results for Mwandishi :

  1. Kane huyu siyo yule wa zamani

    STRAIKA Harry Kane amekuwa gumzo na kuwafanya watu waamini anaweza kubadili nafasi yake ya kucheza ndani ya uwanja na kisha akawasha moto baada ya kile alichokifanya dhidi ya Borussia Dortmund.

  2. Kocha Liverpool afichua kilichomsibu Alexander Isak 

    Kocha wa Liverpool, Arne Slot amefichua sababu za mshambuliaji Alexander Isak kushindwa kuendelea na mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Eintracht Frankfurt ya Ujerumani iliyokubali kipigi...

    ISAK Pict
  3. Flick asema tena kuhusu Marcus Rashford

    KOCHA wa Barcelona, Hans Flick amesisitiza Marcus Rashford ni mchezaji muhimu sana katika mipango yake na siku hadi siku atazidi kuimarika na kuwa bora zaidi.

    RASHFORD Pict
  4. Kikosi bora cha kulipwa hiki hapa

    MASTAA wawili wa England, Jude Bellingham na Cole Palmer wametajwa kwenye Kikosi Bora cha Wanasoka wa Kulipwa Cha Mwaka 2025 (2025 Fifpro World Best XI).

    KIKOSI Pict
  5. Guardiola: Hawa Arsenal wana balaa

    KOCHA wa Manchester City, Pep Guardiola amekiri kwamba Arsenal haikamatiki kwa sasa wakati chama hilo la Mikel Arteta likiweka pengo la pointi sita kileleni kwenye msimamo wa Ligi Kuu England.

    ARSENAL (1)
  6. Dowman aweka rekodi ya kuwa mchezaji mdogo zaidi kucheza UEFA

    KINDA wa Arsenal, Max Dowman, ameweka rekodi mpya kuwa mchezaji mdogo zaidi kuwahi kucheza mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya kuingia kama mchezaji wa akiba katika ushindi wa 0–3 dhidi ya...

  7. Rafu ya Diaz yamliza Hakimi

    BEKI, Achraf Hakimi ameangusha chozi baada ya kuchezewa rafu mbaya na Luis Diaz katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya wakati Paris Saint-Germain ilipomenyana na Bayern Munich.

  8. Kipchoge akataa kustaafu riadha, kuja kivingine

    Bingwa wa mara mbili wa mbio za marathon za Olimpiki, Eliud Kipchoge mwenye umri wa miaka 40, amejiweka miongoni mwa wanariadha bora zaidi katika historia ya mchezo wa riadha duniani huku akiwa...

    KIPCHOGE Pict
  9. Kocha mpya Kenya Police atamba kufuata nyayo za Ndayiragije

    Kocha mpya wa Kenya Police FC, Dusan Stojanovic, ametamba kufuata nyayo za mtangulizi wake, Etienne Ndayiragije, kwa kuhakikisha anatetea ubingwa wa Ligi Kuu ya Kenya (KPL) msimu huu 2025-2026.

    KOCHA PIct
  10. Rio kicheko kipa Onana kuondoka

    BEKI wa zamani, Rio Ferdinand amefurahia kitendo cha Manchester United kumfungulia mlango wa kutokea kipa Andre Onana akidai msimu uliompita alimweka kwenye wakati mgumu sana.

    RIO Pict
Previous

Page 314 of 879

Next