Misri yafuzu Kombe la Dunia, Cape Verde yacheleweshwa Misri imejihakikishia tiketi ya kushiriki Fainali za Kombe la Dunia 2026 baada ya leo kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Djibouti katika mechi iliyochezwa kwenye Uwanja wa Larbi Zaouli...
Huko mtandaoni unapata hadi safari za bure Moja ya majukwaa la kidijitali yanayoendesha minada ya kipekee mitandaoni limezindua bidhaa yake mpya itakayowapa washiriki nafasi ya kujishindia koponi yenye thamani ya Sh100,000 kwa matumizi ya...
Gerrard afufua bifu na El-Hadji Diouf NAHODHA wa zamani wa Liverpool, Steven Gerrard, amemrushia maneno ya kejeli aliyekuwa mchezaji mwenzake El-Hadji Diouf, akifufua tena bifu lao la muda mrefu lililoanza zaidi ya miaka 20 iliyopita.
Zirkzee apanga kuikimbia Manchester United Januari MSHAMBULIAJI wa Manchester United na timu ya taifa ya Uholanzi, Joshua Zirkzee (24), huenda kaondoka katika dirisha dogo lijalo la Januari, 2026 ili kutafuta nafasi ya kucheza zaidi aweze...
Barcelona yaingia matatani tena KLABU ya Barcelona inachunguzwa kwa madai ya kukwepa kodi zinazohusiana na usajili wa winga wa Kibrazili Malcom mwaka 2018. Inadaiwa klabu hiyo ililipa euro milioni 10 kwa mawakala kwa ajili ya...
Hotuba ya AI, Cristiano Ronaldo ajitetea NYOTA wa soka duniani Cristiano Ronaldo amekiri kutumia teknolojia ya akili bandia (AI) kuandaa hotuba yake katika hafla ya utoaji tuzo za Portugal Football Globes, baada ya kupokea tuzo maalum...
Man United hapajatulia, Amorim ana kazi nyingine KLABU ya Manchester United sasa ina alama nne pungufu ikilinganishwa na ilivyokuwa msimu uliopita baada ya kucheza mechi zilezile saba za mwanzo, kwa mujibu wa jedwali la kulinganisha...
Dani Alves, mkewe wapata mtoto BEKI wa zamani wa Barcelona, Dani Alves, na mkewe Joana Sanz wamebarikiwa kupata mtoto wao wa kwanza pamoja, miezi saba baada ya hukumu yake ya ubakaji kufutwa, kwa mujibu wa ripoti.
Cristiano Ronaldo atajwa bilionea wa kwanza mwanasoka MSHAMBULIAJI nyota wa Ureno, Cristiano Ronaldo, ametangazwa kuwa mcheza soka wa kwanza duniani kufikia utajiri wa bilionea, baada ya thamani yake ya mali kukadiriwa kufikia pauni 1.04 bilioni.
Safari ya Guimaraes na Joelinton yageuka shubiri, ndege yageuza angani NYOTA wa Newcastle United, Bruno Guimaraes na Joelinton wamekumbwa na kadhia ya safari wakielekea Korea Kusini kwa ajili ya kujiunga na timu ya taifa ya Brazil inayonolewa na kocha Carlo Ancelotti.