Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8535 results for Mwandishi Wetu :

  1. Sadio Mane atoa stori ya Jurgen Klopp

    STAA Sadio Mane amefichua kwamba ameombwa radhi na kocha Jurgen Klopp baada ya kushindwa kumsajili wakati akiwa Borussia Dortmund ya Ujerumani.

    HALAAND Pict
  2. Arsenal, Spurs jino kwa jino dili la Scott McTominay

    ARSENAL inatazama uwezekano wa kumsajili kiungo wa Napoli na timu ya taifa ya Scotland, Scott McTominay, 28, katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi.

    FUNUNU Pict
  3. Palmer majanga! Kuzikosa Barcelona, Arsenal baada ya kuvunjika kidole

    KOCHA wa Chelsea, Enzo Maresca amekiri Cole Palmer amepata jeraha jingine jipya kabla ya safari ya Jumamosi kwenda Burnley katika mechi ya Ligi Kuu England (EPL).

    PALMER Pict
  4. Gattuso apendekeza Ligi Kuu Italia isimame kwa muda

    Kocha wa timu ya taifa ya Italia, Gennaro Gattuso, ameomba mechi za Serie A zilizopangwa kabla ya mechi za mchujo wa kufuzu Kombe la Dunia 2026, ziahirishwe ili kutoa muda kwa kikosi hicho...

    GATTUSO Pict
  5. Kigogo Homeboyz ataka Benni McCarthy atimuliwe

    MWENYEKITI wa klabu ya Kakamega Homeboyz, Cleophas Shimanyula amelitaka Shirikisho la Soka Kenya (FKF), kumfukuza kocha wa timu ya taifa, Harambee Stars, Benni McCarthy kutokana na aibu ya kipigo...

    BENNY Pict
  6. Kipa Singida Black Stars aibua gumzo Nigeria

    Gwiji wa soka nchini Nigeria, Yakubu Aiyegbeni, ameibuka na kuhoji uamuzi wa kocha wa timu ya taifa ya nchi hiyo, Eric Chelle, wa kumjumuisha kipa anayekipiga nchini Tanzania, Amas Obasogie...

    CORTOUA
  7. Thibaut Courtois ataja walinda mlango watatu bora duniani

    Kipa wa timu ya taifa ya Ubelgiji na klabu ya Real Madrid, Thibaut Courtois, ametaja orodha ya makipa bora, ambao anaamini kwa sasa wanafanya vizuri katika soka la ushindani.

    CORTOUA Pict
  8. Mane afichua kwa nini aliikataa Man United na kutimkia Anfield

    Hatimaye mshambuliaji wa Al Nassr ya Saudi Arabia, Sadio Mané, amefichua kuwa alikataa kusajiliwa na Manchester United na badala yake akaamua kujiunga na Liverpool mwaka 2016.

    MANE Pict
  9. Tanzania yaporomoka nafasi tano viwango vya ubora FIFA

    Tanzania imeporomoka kwa nafasi tano kwenye viwango vya ubora vya Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) katika chati ya viwango ya mwezi Novemba.

    TAIFA STARS Pict
  10. Paul Pogba kurudi dimbani baada ya mwaka mmoja

    Kiungo wa Ufaransa, Paul Pogba anatarajiwa kucheza mechi yake ya kwanza akiwa na AS Monaco kesho Jumamosi, Novemba 22, 2025 dhidi ya Rennes, huku akiendelea kujiandaa kurejea katika mechi za...

    POGBA Pict
Previous

Page 306 of 854

Next