Simulizi ya Raila Odinga alivyoihama Man United na kuisapoti Arsenal hadi kifo chake
Raila Odinga, mwanasiasa mkongwe wa Kenya na Waziri Mkuu wa zamani, amefariki dunia Oktoba 15, 2025, akiwa na umri wa miaka 80, baada ya kupata shambulio la moyo alipokuwa akipatiwa matibabu...