Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8768 results for Mwandishi :

  1. Senegal yapiga tatu, yatinga robo fainali

    SENEGAL imekuwa timu ya kwanza kutinga robo fainali ya mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 baada ya kuichapa Sudan mabao 3-1 katika mchezo wa hatua ya 16 bora uliofanyika...

    SENEGAL Pict
  2. Kofane kufuata nyayo za Roger Milla, Eto’o

    MSHAMBULIAJI kijana wa Cameroon, Christian Michel Kofane ameandika historia mapya katika Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON), baada ya kung’ara akiwa na umri wa miaka 19 tu.

    KOFANE Pict
  3. Mbappe majanga Madrid, kukaa nje siku 21

    MSHAMBULIAJI wa Real Madrid, Kylian Mbappe anaripotiwa atakuwa nje ya uwanja kwa walau wiki tatu, kutokana na jeraha la goti la kushoto.

    MBAPPE Pict
  4. Yule aliyewaibua Saka, Nwaneri kusepa Arsenal

    MKUU wa akademi ya Arsenal, Per Mertesacker, ameripotiwa kuwa na mpango wa kuondoka kwenye klabu hiyo mwishoni mwa msimu huu.

    MATASAKA Pict
  5. Majeraha yazidi kuitafuna Spurs

    TATIZO la majeruhi katika kikosi cha Tottenham Hotspur limezidi kuwa baya zaidi baada ya mchezaji wao wa kimataifa wa Brazil, Richarlison, kuondoka Uwanjani akiwa anachechemea katika mechi yao ya...

    SPURS Pict
  6. Amorim anawawaza tu Mbeumo, Amad

    MANCHESTER United kijasho kinawatoka kwa sababu ya kuwasubiri Bryan Mbeumo, Amad na Noussair Mazraoui, ambao wote wako kwenye majukumu ya kimataifa wakicheza Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON)...

    AMORIM Pict
  7. Guardiola asababisha hofu kubwa Man City

    RIPOTI zinafichua watu wa ndani wa Manchester City wameanza kupata hofu juu ya uwezekano wa Pep Guardiola kuondoka kwenye kikosi hicho kuliko hata hukumu ya mashtaka 115 yanayowakabili kwenye...

    GUARDIOLA Pict
  8. Dili jipya la Kane lipo tayari mezani

    STRAIKA, Harry Kane amefichua kuwa mazungumzo ya kuongeza mkataba mpya Bayern Munich yanatarajiwa kufanyika muda wowote kuanzia sasa.

    KANE Pict
  9. Xabi Alonso apigwa chini Real Madrid

    XABI ALONSO ameachana na Real Madrid siku moja baada ya kupoteza fainali ya Super Cup dhidi ya Barcelona. Taarifa ya klabu imesema uamuzi wa kocha huyo mwenye umri wa miaka 44 kuondoka ulifanywa...

    ALONSO Pict
  10. Kuna timu Ujerumani inamtaka Xabi Alonso

    XABI Alonso inaripotiwa kufikiwa kwa ajili ya kurejea kwenye kazi ya ukocha, ikiwa ni wiki moja baada ya kufukuzwa na Real Madrid.

Previous

Page 289 of 877

Next