Senegal yapiga tatu, yatinga robo fainali SENEGAL imekuwa timu ya kwanza kutinga robo fainali ya mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 baada ya kuichapa Sudan mabao 3-1 katika mchezo wa hatua ya 16 bora uliofanyika...
Kofane kufuata nyayo za Roger Milla, Eto’o MSHAMBULIAJI kijana wa Cameroon, Christian Michel Kofane ameandika historia mapya katika Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON), baada ya kung’ara akiwa na umri wa miaka 19 tu.
Mbappe majanga Madrid, kukaa nje siku 21 MSHAMBULIAJI wa Real Madrid, Kylian Mbappe anaripotiwa atakuwa nje ya uwanja kwa walau wiki tatu, kutokana na jeraha la goti la kushoto.
Yule aliyewaibua Saka, Nwaneri kusepa Arsenal MKUU wa akademi ya Arsenal, Per Mertesacker, ameripotiwa kuwa na mpango wa kuondoka kwenye klabu hiyo mwishoni mwa msimu huu.
Majeraha yazidi kuitafuna Spurs TATIZO la majeruhi katika kikosi cha Tottenham Hotspur limezidi kuwa baya zaidi baada ya mchezaji wao wa kimataifa wa Brazil, Richarlison, kuondoka Uwanjani akiwa anachechemea katika mechi yao ya...
Amorim anawawaza tu Mbeumo, Amad MANCHESTER United kijasho kinawatoka kwa sababu ya kuwasubiri Bryan Mbeumo, Amad na Noussair Mazraoui, ambao wote wako kwenye majukumu ya kimataifa wakicheza Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON)...
Guardiola asababisha hofu kubwa Man City RIPOTI zinafichua watu wa ndani wa Manchester City wameanza kupata hofu juu ya uwezekano wa Pep Guardiola kuondoka kwenye kikosi hicho kuliko hata hukumu ya mashtaka 115 yanayowakabili kwenye...
Dili jipya la Kane lipo tayari mezani STRAIKA, Harry Kane amefichua kuwa mazungumzo ya kuongeza mkataba mpya Bayern Munich yanatarajiwa kufanyika muda wowote kuanzia sasa.
Xabi Alonso apigwa chini Real Madrid XABI ALONSO ameachana na Real Madrid siku moja baada ya kupoteza fainali ya Super Cup dhidi ya Barcelona. Taarifa ya klabu imesema uamuzi wa kocha huyo mwenye umri wa miaka 44 kuondoka ulifanywa...
Kuna timu Ujerumani inamtaka Xabi Alonso XABI Alonso inaripotiwa kufikiwa kwa ajili ya kurejea kwenye kazi ya ukocha, ikiwa ni wiki moja baada ya kufukuzwa na Real Madrid.