Evra amtetea Ruben Amorim BEKI wa zamani wa Manchester United, Patrice Evra, ameonyesha kumuunga mkono kocha wa mashetani wekundu hao, Ruben Amorim, akidai kuwa ndiye mtu sahihi kwa sasa kwani anatanguliza maslahi ya...
Mohamed Salah anasepa OFISA Mtendaji Mkuu wa Ligi Kuu Saudi Arabia amethibitishwa rasmi mshambuliaji wa Liverpool, Mohamed Salah ni miongoni mwa wachezaji wanaohitaji kuwa nao katika ligi yao dirisha lijalo la majira...
Ibrahima Konate anakaribia kusaini mkataba mpya Liverpool BEKI kisiki wa Liverpool na timu ya taifa ya Ufaransa Ibrahima Konate, mwenye umri wa miaka 26, ambaye anatarajia kumaliza mkataba wake mwisho wa msimu huu, kuna uwezekano mkubwa akasaini mkataba...
Kisa tukio la kuotea, mwamuzi Kenya ashushwa daraja Shirikisho la Soka nchini Kenya (FKF), limetangaza adhabu ilizochukua za makosa ya kinidhamu dhidi ya maofisa watatu kufuatia mapitio ya Kamati ya Waamuzi Taifa kuhusu Mechi ya Ligi Kuu ya Kenya...
Gabriel Martinelli aandika rekodi mpya Arsenal Gabriel Martinelli ameweka rekodi mpya ndani ya klabu ya Arsenal baada ya kufunga bao muhimu katika ushindi wa Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Club Brugge.
Kali ya Neymar Brazil amgeukia “Dr Miracle SUPASTAA, Neymar amemgeukia “Dr Miracle” kuamua hatima yake ili kutimiza ndoto za kucheza Kombe la Dunia 2026.
Slot, Mo Salah bado pagumu KOCHA, Arne Slot amefunguka juu ya mpango wa Mohamed Salah kurejea kwenye kikosi cha Liverpool baada ya uamuzi wake wa kumpiga benchi staa huyo kuzaa matunda kwenye mechi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.
Majeruhi Arsenal, Arteta anazidi kuvurugwa MIKEL Arteta amesema Arsenal ipo kwenye hali ya hatari kutokana na kuandamwa na majeruhi mfululizo kikosini.
PSG yabanwa ugenini, Ajax ikipata ushindi wa kwanza UEFA Mabingwa watetezi wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, Paris St-Germain (PSG) wameshindwa kuifunga Athletic Club licha ya kutawala mchezo. Hata hivuo, bado wana nafasi nzuri ya kusonga mbele hatua ya 16 bora.
Arsenal bado moja tu kutoboa UEFA, Jesus arejea baada ya siku 342 Noni Madueke amefunga mabao mawili wakati Arsenal ikiibuka na ushindi wa 3-0 dhidi ya Club Brugge na kuendeleza rekodi yao ya asilimia 100 katika Ligi ya Mabingwa Ulaya, hatua ambayo imeiweka...