Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8014 results for Mwandishi Wetu :

  1. Chelsea yataka kitonga kwa Dayot Upamecano

    CHELSEA imepanga kusubiri hadi mwisho wa msimu huu ili kuokoa hadi Pauni 52 milioni katika kumsajili beki wa kati wa Bayern Munich na timu ya taifa ya Ufaransa Dayot Upamecano, ambaye mkataba...

    FUNUNU Pict
  2. Gabriel azua wasiwasi mkubwa Arsenal

    BEKI wa kati wa Arsenal, Mbrazili, Gabriel amezua wasiwasi mkubwa kwenye timu hiyo kutokana na hali yake ya kiafya inayomfanya kocha Mikel Arteta asiwe na uhakika wa kumtumia.

    GABRIEL Pict
  3. Guehi, FC Bayern Munich  kuna jambo

    MAWAKALA wa beki wa kati, Marc Guehi wameripotiwa kukutana na mabosi wa Bayern Munich kwa ajili ya kufanikisha uhamisho wa bure kwenye dirisha lijalo la majira ya kiangazi baada ya kufanya uamuzi...

    GUEHI Pict
  4. Mastaa NBA, kocha walivyonaswa ishu ya kubeti

    LIGI ya mpira wa kikapu ya Marekani (NBA) imekumbwa na kashfa kubwa ya kamari baada ya wachezaji na makocha kadhaa kukamatwa kwa tuhuma za kushiriki katika mtandao wa kamari haramu na michezo ya...

    NBA Pict (1)
  5. Ile vita ya Amorim, Slot inaendelea England

    KUMEANZA kuchangamka. Ndicho unachoweza kusema baada ya kocha wa Manchester United, Ruben Amorim kuingia kwenye vita ya maneno na mwenzake wa Liverpool, Arne Slot kufuatia kauli yake ya kuponda...

    VITA Pict
  6. Rafael Benitez arudi kazini Ugiriki

    KOCHA, Rafa Benitez amerejea mzigoni baada ya kukubali kuwa kocha mpya wa Panathinaikos.

    BENITEZ Pict
  7. Mambo 4 vita ya Curry, Gordon NBA

    TIMU za Golden State Warriors na Denver Nuggets zilianza msimu huu zikiwa na lengo moja tu kurejea kwenye fainali za NBA na kuzuia utawala wa Oklahoma City Thunder katika ukanda wa Magharibi.

    NBA Pict
  8. Joto la El Clasico, vipimo kuamua hatma ya Jules Kounde

    Mabingwa wa Hispania, FC Barcelona, huenda wakamkosa beki wa pembeni kutoka Ufaransa, Jules Kounde, kwenye mechi ya El Clasico, itakayopigwa kesho Jumapili, Oktoba 26, 2025 kwenye Uwanja wa...

    EL CLASICO Pict
  9. Infantino aihakikishia timu ya taifa ya Iran kuingia Marekani

    Wachezaji wa zamani wa Reading FC na Hull City, Saeed Ezatolahi na Allahyar Sayyadmanesh, wataweza kuichezea Iran katika fainali za Kombe la Dunia la 2026, endapo wataitwa kwenye kikosi cha nchi...

    IRAN Pict
  10. Mnigeria aing'oa Polisi Kenya, tumaini limebaki kwa Nairobi United

    MABAO mawili yaliyowekwa kimiani na straika Mnigeria, Sunday Adetunji anayekipiga Al Hilal ya Sudan yametosha kuing'oa Polisi Kenya katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

    POLISI Pict
Previous

Page 282 of 802

Next