Chelsea yataka kitonga kwa Dayot Upamecano CHELSEA imepanga kusubiri hadi mwisho wa msimu huu ili kuokoa hadi Pauni 52 milioni katika kumsajili beki wa kati wa Bayern Munich na timu ya taifa ya Ufaransa Dayot Upamecano, ambaye mkataba...
Gabriel azua wasiwasi mkubwa Arsenal BEKI wa kati wa Arsenal, Mbrazili, Gabriel amezua wasiwasi mkubwa kwenye timu hiyo kutokana na hali yake ya kiafya inayomfanya kocha Mikel Arteta asiwe na uhakika wa kumtumia.
Guehi, FC Bayern Munich kuna jambo MAWAKALA wa beki wa kati, Marc Guehi wameripotiwa kukutana na mabosi wa Bayern Munich kwa ajili ya kufanikisha uhamisho wa bure kwenye dirisha lijalo la majira ya kiangazi baada ya kufanya uamuzi...
Mastaa NBA, kocha walivyonaswa ishu ya kubeti LIGI ya mpira wa kikapu ya Marekani (NBA) imekumbwa na kashfa kubwa ya kamari baada ya wachezaji na makocha kadhaa kukamatwa kwa tuhuma za kushiriki katika mtandao wa kamari haramu na michezo ya...
Ile vita ya Amorim, Slot inaendelea England KUMEANZA kuchangamka. Ndicho unachoweza kusema baada ya kocha wa Manchester United, Ruben Amorim kuingia kwenye vita ya maneno na mwenzake wa Liverpool, Arne Slot kufuatia kauli yake ya kuponda...
Rafael Benitez arudi kazini Ugiriki KOCHA, Rafa Benitez amerejea mzigoni baada ya kukubali kuwa kocha mpya wa Panathinaikos.
Mambo 4 vita ya Curry, Gordon NBA TIMU za Golden State Warriors na Denver Nuggets zilianza msimu huu zikiwa na lengo moja tu kurejea kwenye fainali za NBA na kuzuia utawala wa Oklahoma City Thunder katika ukanda wa Magharibi.
Joto la El Clasico, vipimo kuamua hatma ya Jules Kounde Mabingwa wa Hispania, FC Barcelona, huenda wakamkosa beki wa pembeni kutoka Ufaransa, Jules Kounde, kwenye mechi ya El Clasico, itakayopigwa kesho Jumapili, Oktoba 26, 2025 kwenye Uwanja wa...
Infantino aihakikishia timu ya taifa ya Iran kuingia Marekani Wachezaji wa zamani wa Reading FC na Hull City, Saeed Ezatolahi na Allahyar Sayyadmanesh, wataweza kuichezea Iran katika fainali za Kombe la Dunia la 2026, endapo wataitwa kwenye kikosi cha nchi...
Mnigeria aing'oa Polisi Kenya, tumaini limebaki kwa Nairobi United MABAO mawili yaliyowekwa kimiani na straika Mnigeria, Sunday Adetunji anayekipiga Al Hilal ya Sudan yametosha kuing'oa Polisi Kenya katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.