Rodrygo, Leao wamzuzua Arteta, awataka Arsenal ARSENAL imeonyesha kuvutiwa kwa muda mrefu na winga wa Real Madrid na timu ya taifa ya Brazi, Rodrygo mwenye umri wa miaka, 24, pamoja na winga wa AC Milan na Ureno Rafael Leao, 26, na inataka...
Timu tano Mabingwa Ulaya bado England ENGLAND inaendelea kushikilia tiketi ya kuwa na timu tano kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu ujao kutokana na kufanya vizuri kwenye michuano ya Ulaya kwa wiki iliyopita.
Man United yashusha bili ya mishahara BILI ya mishahara ya Manchester United imeshuka kwa hesabu za robo ya kwanza ya mwaka wa fedha.
Slot, Mo Salah kumaliza ishu yao kwa mazungumzo KOCHA wa Liverpool, Arne Slot amefichua kwamba atafanya kikao cha ana kwa ana na Mohamed Salah ili kufahamu msimamo wa mwisho kama atacheza mechi ya mwisho kwenye kikosi hicho cha Anfield.
Kama huna hela, tiketi Kombe la Dunia 2026 hugusi MASHABIKI wa soka wanaojiandaa kwenda kwenye fainali za Kombe la Dunia 2026 watakabiliwa na kasheshe zito la kuhusu bei ya tiketi za mechi kutokana na kuuzwa ghali sana.
Maeneo ya kujificha ukiwa Morocco kuenjoi Afcon 2025 MAMBO iko huku, unaweza kusema hivyo. Katika kuelekea mashindano ya Afcon 2025, Morocco imeandaa maeneo mazuri na ya kuvutia kwa ajili ya kuwahudumia wachezaji na mashabiki watakaoenda kwenye...
ITRI: Gozi litakalotumika Morocco Afcon 2025 SHIRIKISHO la soka la Afrika (CAF) kwa kushirikiana na kampuni ya vifaa vya michezo, PUMA, imetambulisha mpira maalumu utakaotumika kwenye mashindano ya Afcon 2025 yatakayoanza baadaye mwezi huu...
Majizo awatetea wasanii, wadau wamcharukia FANI ya muziki Tanzania ikiwamo Bongo Flava inakumbwa na msukosuko, huku wasanii wakubwa wakikabiliwa na lawama kutoka kwa mashabiki kutokana na ukimya wao na kile kinachoonekana kutokujali...
Arteta ataja janga jingine huko KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta amethibitisha kuwa Arsenal imepata pigo jingine la majeraha baada ya staa wao aliyesajiliwa katika dirisha lililopita la majira ya kiangazi, Cristhian Mosquera...
Bellingham hata yeye haelewi STAA wa Real Madrid, Jude Bellingham benchi la ufundi la timu hiyo bado linapambana kujua kwanini hawapati matokeo chanya katika mechi za hivi karibuni lakini wao kama wachezaji wanamuunga mkono...