Lamine Yamal aanza mazoezi binafsi Kiungo mshambuliaji Lamine Yamal, ameanza mazoezi binafsi ya uwanjani na gym. Nyota huyo mwenye umri wa miaka 18 amekuwa nje ya uwanja kwa muda kutokana na majeraha yaliyomfanya akose mechi za...
Devota Kihwelo: Nilisajiliwa kwa jezi ya Chelsea Katika tasnia ya habari nchini, jina la Devotha Kihwelo limejijengea heshima kama mwandishi shupavu wa habari za uchunguzi na michezo.
Katikati ya ndoto ya Arsenal wapo PSG KOCHA Mikel Arteta yuko karibu kuandika historia mpya, huku Arsenal wakijiandaa kwa usiku mkubwa zaidi wa maisha yake ya ukocha katika fainali ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya Paris Saint-Germain...
Vini Jr amtabiria makubwa Lamine Yamal Vinícius Júnior alizungumza katika mahojiano nchini Brazil kuhusu Lamine Yamal, akimsifu kwa kiwango chake kikubwa cha soka licha ya kuchezea FC Barcelona, wapinzani wakubwa wa milele wa Real...
West Ham, Nuno mambo yamenyooka Uongozi wa klabu ya West Ham United umethibitisha kocha Nuno Espirito Santo ataendelea kuinoa timu hiyo kwa lengo la kuirejesha Ligi Kuu ya England msimu ujao.
Enzo Fernandez asisitiza kuondoka Chelsea Kiungo wa Argentina, Enzo Fernandez, anataka kuondoka Chelsea msimu huu wa kiangazi, huku klabu hiyo ikitaka dau la pauni milioni 120 (zaidi ya sh390 bilioni) ili kumwachia.
Mashabiki England wasusia mechi ya kirafiki Marekani Nahodha wa timu ya taifa ya England, Harry Kane na wachezaji wenzake wanakabiliwa na uwezekano wa kucheza mbele ya uwanja usio na mashabiki wengi nchini Marekani wiki ijayo.
Rekodi ya Cristiano Ronaldo shangwe Colombia Mkongwe Cristiano Ronaldo anajiandaa kuweka historia katika Kombe la Dunia 2026, itakayofanyika Marekani, Mexico na Canada, ambapo atacheza fainali zake za mwisho kwa mara sita, huku akipambana...
Crystal Palace yaweka rekodi Ulaya BAO la Jean-Philippe Mateta lilitosha kuipa Crystal Palace FC taji lao la kwanza kabisa la Ulaya baada ya Eagles kuifunga Rayo Vallecano katika fainali ya Europa Conference Ligi.
Neymar Jr atinga kambini kwa ‘chopa’ Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Brazil, Neymar Jr, amewasili kambini kwa mtindo wa kipekee kwa kutumia usafiri wa helikopta ‘Chopa’ nchini Marekani, tayari kwa maandalizi ya michuano ya Kombe la...