Vardy amegoma kuzeeka Serie A STRAIKA veterani, Jamie Vardy amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Mwezi Novemba kwenye mikikimikiki ya Serie A kutokana na kiwango chake matata kabisa anachokionyesha huko Cremonese.
Jesus ni mwendo wa kusoma Biblia tu STAA wa Arsenal, Gabriel Jesus amefichua amekuwa kwenye mashaka makubwa kwa miezi 11 iliyopita.
Scholes amshambulia vikali Ruben Amorim GWIJI wa Manchester United, Paul Scholes ameibuka na kumshambulia kocha wa sasa wa timu hiyo, Ruben Amorim, sio mtu sahihi wa kuinoa klabu hiyo.
Hersi kushiriki kongamano la FIFA, Qatar leo SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu la Kimataifa (FIFA), limemchagua Rais wa Klabu ya Yanga na Mwenyekiti wa Umoja wa Klabu Afrika (ACA), Eng. Hersi Said kuwa miongoni mwa wataalam watakaofundisha...
Oscar afikiria kutundika daruga MSHINDI mara mbili wa taji la Ligi Kuu England, kiungo wa Kibrazili Oscar ameripotiwa kuwa na mpango wa kustaafu soka kutokana na kuwa na tatizo kubwa ya kiafya.
Mdhamini awaingiza vitani Chelsea, Arsenal CHELSEA imecheka kwa dharau kwa madai ya Arsenal imewapiga kikumbo kwenye kunasa dili la udhamini la pesa ndefu ambalo lilikaribia kutiki huko Stamford Bridge.
Scholes acharuka...Amorim hatoshi Man United GWIJI wa Manchester United, Paul Scholes ameibuka na kumshambulia kocha wa sasa wa timu hiyo, Ruben Amorim, sio mtu sahihi wa kuinoa klabu hiyo.
Mwalimu achukua nafasi ya Sopu AFCON WAKATI kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars kikiendelea na maandalizi ya kushiriki Fainali za Kombe la Mataifa Afrika (AFCON 2025), kocha mkuu wa kikosi hicho, Miguel Gamondi...
Kama huwajui vigogo wa Afcon 2025, ni hawa hapa MASHINDANO ya Kombe la Mataifa ya Afrika 2025 yanaleta pamoja timu bora zaidi kutoka bara zima la Afrika kuonyesha ubabe huko Morocco.
Arteta atoa msimamo wa beki Saliba KOCHA, Mikel Arteta amefunguka juu ya hali ya kiafya ya beki wa kati wa Arsenal, William Saliba.