Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8759 results for Mwandishi :

  1. Tudor akiri mambo magumu Spurs

    KOCHA Igor Tudor amekiri kuwa mambo yote yanaonekana kwenda vibaya Tottenham Hotspur huku shinikizo likiongezeka juu ya nafasi yake baada ya aibu waliyoipata katika mechi ya Ligi ya Mabingwa...

  2. Liam Rosenior amjaza upepo Joao Pedro

    KOCHA wa Chelsea, Liam Rosenior amesema hawezi kubadilishana mshambuliaji mwenye moto, Joao Pedro na mchezaji yeyote duniani.

    PEDRO Pict
  3. Kane kupewa kibunda abaki zake Bayern

    STRAIKA wa England, Harry Kane anatarajiwa kupata ongezeko kubwa la mshahara baada ya kuanza mazungumzo ya mkataba mpya katika klabu yake anayochezea kwa sasa huko Ujerumani, Bayern Munich.

  4. Rashford atoboa siri kurejea kwenye kiwango

    MARCUS Rashford amefichua sababu ya kurejea kwake katika kiwango bora tangu aondoke Manchester United.

  5. Spurs kushusha vyuma vya maana

    MABOSI wa Tottenham wametenga Pauni 150 milioni kwa ajili ya usajili dirisha la majira ya baridi.

  6. Ishu ya Viktor Gyokeres, Arteta awaonya wapinzani

    KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta amewaonya wapinzani wa Arsenal katika michuano mbalimbali kuwa straika wao Viktor Gyokeres, ambaye hajafunga sana tangu kuanza kwa msimu, atakuwa mchezaji tofauti...

    ARTETA Pict
  7. Maresca anataka wazee Chelsea

    KOCHA wa Chelsea, Enzo Maresca amesema Chelsea ingeweza kunufaika kwa kuwa na wachezaji wenye uzoefu zaidi wanaojua namna ya kukabiliana na mazingira ya kutisha kama ya Uwanja wa St James’ Park...

    MARESCA Pict
  8. Bissouma kuikosa mechi ya ufunguzi AFCON 2025

    MALI itamkosa kiungo nyota anayekipiga Tottenham Hotspur, Yves Bissouma katika mechi ya ufunguzi ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) itakayochezwa leo Jumatatu, lakini kocha wa timu...

    MBESUMA Pict
  9. Mali, Zambia hakuna mbabe, Daka akimtungua Diarra

    BAO la dakika za majeruhi la Patson Daka limeiokoa Zambia kukumbana na kichapo mbele ya Mali baada ya kutoka sare ya 1-1 kwenye mechi ya kwanza ya Kundi A katika mashindano ya AFCON 2025...

    ZAMBIA Pict
  10. Mpango wa Kobbie Mainoo ni kusepa jumla

    KIUNGO Kobbie Mainoo ameripotiwa kwamba akili yake ipo kwenye kuachana jumla na Manchester United.

    MAINOO Pict
Previous

Page 280 of 876

Next