Tudor akiri mambo magumu Spurs KOCHA Igor Tudor amekiri kuwa mambo yote yanaonekana kwenda vibaya Tottenham Hotspur huku shinikizo likiongezeka juu ya nafasi yake baada ya aibu waliyoipata katika mechi ya Ligi ya Mabingwa...
Liam Rosenior amjaza upepo Joao Pedro KOCHA wa Chelsea, Liam Rosenior amesema hawezi kubadilishana mshambuliaji mwenye moto, Joao Pedro na mchezaji yeyote duniani.
Kane kupewa kibunda abaki zake Bayern STRAIKA wa England, Harry Kane anatarajiwa kupata ongezeko kubwa la mshahara baada ya kuanza mazungumzo ya mkataba mpya katika klabu yake anayochezea kwa sasa huko Ujerumani, Bayern Munich.
Rashford atoboa siri kurejea kwenye kiwango MARCUS Rashford amefichua sababu ya kurejea kwake katika kiwango bora tangu aondoke Manchester United.
Spurs kushusha vyuma vya maana MABOSI wa Tottenham wametenga Pauni 150 milioni kwa ajili ya usajili dirisha la majira ya baridi.
Ishu ya Viktor Gyokeres, Arteta awaonya wapinzani KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta amewaonya wapinzani wa Arsenal katika michuano mbalimbali kuwa straika wao Viktor Gyokeres, ambaye hajafunga sana tangu kuanza kwa msimu, atakuwa mchezaji tofauti...
Maresca anataka wazee Chelsea KOCHA wa Chelsea, Enzo Maresca amesema Chelsea ingeweza kunufaika kwa kuwa na wachezaji wenye uzoefu zaidi wanaojua namna ya kukabiliana na mazingira ya kutisha kama ya Uwanja wa St James’ Park...
Bissouma kuikosa mechi ya ufunguzi AFCON 2025 MALI itamkosa kiungo nyota anayekipiga Tottenham Hotspur, Yves Bissouma katika mechi ya ufunguzi ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) itakayochezwa leo Jumatatu, lakini kocha wa timu...
Mali, Zambia hakuna mbabe, Daka akimtungua Diarra BAO la dakika za majeruhi la Patson Daka limeiokoa Zambia kukumbana na kichapo mbele ya Mali baada ya kutoka sare ya 1-1 kwenye mechi ya kwanza ya Kundi A katika mashindano ya AFCON 2025...
Mpango wa Kobbie Mainoo ni kusepa jumla KIUNGO Kobbie Mainoo ameripotiwa kwamba akili yake ipo kwenye kuachana jumla na Manchester United.