Mechi 5 zitakavyoamua vita ya Arsenal, Man City, Liverpool England WIKIENDI ilikuwa tamu kwa Arsenal ilipofufua matumaini yao ya kunyakua taji la Ligi Kuu England kwa mara ya kwanza tangu 2004.
Arteta: Mastaa wangu watatu wagonjwa KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta amethibitisha wachezaji wake watatu kupata majeraha kwenye mechi ya ushindi dhidi ya Crystal Palace kwenye Ligi Kuu England, jana Jumapili, Oktoba 26.
Vitendo vya Carvajal, Lamine vyamchukiza De Jong Kiungo wa Barcelona Frenkie de Jong amemkosoa beki wa pembeni wa Real Madrid, Dani Carvajal, kufuatia kitendo chake cha kumchokoza Lamine Yamal, baada ya mechi ya El Clasico jana Jumapili, Oktoba...
Lamine Yamal amejifunza kutokana na makosa yeke Maneno ya mshambuliaji wa Barcelona, Lamine Yamal kabla ya mechi ya El Clásico yalizua gumzo kubwa kuliko hata kiwango chake uwanjani, baada ya Barcelona kupoteza mechi hiyo na huenda kijana huyo...
FIFA yatangaza mashindano mapya Kusini-Mashariki mwa Asia Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu la Kimataifa (FIFA), Gianni Infantino, ametangaza kuanzishwa kwa mashindano mapya ya kandanda ya kanda yatakayohusisha nchi zote 11 za Kusini-Mashariki mwa Asia.
Gor Mahia yamuenzi Raila Odinga kwa ushindi mnono Gor Mahia imeichapa Posta Rangers mabao 3-0 kupitia Ben Stanley, Austin Odhiambo, na Felix Oluoch.
Okoth wa Mathare aiumiza Shabana Mshambuliaji wa Mathare United, Dennis Okoth, aliiumiza timu yake ya zamani Shabana FC baada ya kufunga bao pekee katika ushindi wa 1-0 katika mechi ya Ligi Kuu ya Soka Kenya (FKF Premier League)...
Baada ya ubingwa wa StanChart Nairobi, Chepkorir azitolea macho mbio za dunia Bingwa mpya wa mbio za wanawake za kilomita 42 katika Marathon ya Standard Chartered Nairobi, Hellen Chepkorir kutoka Kapsabet, anaamini mafanikio yake ya hivi karibuni yatafungua milango ya...
Samatta dakika 519 bado mambo magumu Ufaransa NYOTA wa kimataifa na nahodha wa timu ya taifa, Mbwana Samatta jana Jumapili alitimiza jumla ya dakika 519 kupitia mechi nane za Ligi Kuu ya Ufaransa bila ya kufunga bao.
Nairobi United yaandika historia, yaitupa nje Etoile du Sahel ikitinga makundi Afrika KLABU ya Ligi Kuu ya Kenya, Nairobi United, imeandika historia baada ya kufuzu kwa mara ya kwanza kabisa hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika ikiing'oa kwa penalti mabingwa wa zamani wa...