Nne zatajwa kuitaka saini ya Robertson BEKI wa kushoto wa kimataifa wa Scotland, Andrew Robertson, amethibitisha kuwa ataondoka Liverpool mwisho wa msimu huu baada ya miaka tisa kwenye Uwanja wa Anfield, lakini tayari kuna klabu nne...
De Zerbi: Spurs subirini pira biriani Kocha mpya wa Tottenham Hotspur, Roberto De Zerbi, ameahidi kuirejeshea hadhi klabu hiyo na kuwapa mashabiki aina ya soka la kuvutia lililokuwa likichezwa chini ya aliyekuwa kocha wao, Ange...
Arbeloa alalamikia VAR, Madrid ikinyimwa penalti dhidi ya Girona Kocha wa Real Madrid, Alvaro Arbeloa amekosoa vikali uamuzi wa klabu yake kutopewa penalti baada ya Kylian Mbappe kuchezewa vibaya kwenye eneo la boksi katika mechi ya La liga dhidi ya Girona...
Ancelotti amfungulia mlango Neymar Kombe la Dunia 2026 Kocha wa timu ya taifa ya Brazil, Carlo Ancelotti amesema hajaondoa kabisa uwezekano wa kumjumuisha nyota Neymar Jr. katika kikosi kitakachoshiriki Kombe la Dunia 2026, endapo atathibitisha...
Partey arudi London kujibu kesi mpya ya ubakaji KIUNGO wa zamani wa Arsenal, Thomas Partey, amerudi mahakamani jijini London, na amekana mashtaka mapya mawili ya ubakaji yanayomhusu mlalamikaji mpya.
Neville atoa utabiri mpya Man United GARY Neville amekiri kuwa haamini sasa anaitabiria Manchester United kumaliza katika nafasi ya tatu, akizingatia walipokuwa kabla ya Michael Carrick kuchukua mikoba kutoka kwa Ruben Amorim.
Abramovich kukomalia pesa za mauzo ya Chelsea JOPO la wanasheria wa bilionea Roman Abramovich wako tayari kupambana na serikali ya Uingereza kuhusu haki ya kutumia Pauni 2.35 bilioni zilizopatikana kwenye mauzo ya Chelsea, fedha ambazo bado...
Nsajigwa akiri ana kibarua kizito SAA chache tangu awaage wachezaji aliofanya nao kazi Transit Camp, Kocha Shadrack Nsajigwa 'Fuso' amekiri ana kazi kibarua kikubwa cha kufanya kuhakikisha timu anayokabidhiwa inarudi kwenye...
Barcelona ina jambo na Haaland BAECELONA imesisitiza kwamba ina fedha za kutosha kuwasilisha ofa kwenda Manchester City kwa ajili ya kumsajili mshambuliaji wa klabu hiyo na timu ya taifa ya Norway, Erling Haaland, endapo...
Tonali ageuka habari ya mjini Ulaya VIGOGO wa soka Ulaya wamezidi kuongezeka kuhitaji kumsajili kiungo wa Newcastle United, Sandro Tonali baada ya Real Madrid kuungana na Arsenal, Manchester City, Manchester United na Arsenal.