Afcon ilipogeuka kuwa sherehe ya mabao MASHINDANO ya soka ya kusaka ubingwa wa Afrika (AFCON) mara zote limekuwa jukwaa la mambo mengi ya kustaajabisha, ufundi na ustadi mkubwa katika soka la kushambulia na kushuhudia sherehe za mabao.
Steve Barker kocha mpya Simba SC KLABU ya Simba, leo Ijumaa, Desemba 19, 2025 imemtangaza Steve Barker kutoka Afrika Kusini kuwa Kocha Mkuu mpya.
Diego Simeone anamtaka Rashford Atletico Madrid ATLETICO Madrid imeonyesha nia ya kumsajili mshambuliaji wa kimataifa wa England, Marcus Rashford, 28, ambaye kwa sasa anachezea Barcelona kwa mkopo akitokea Manchester United.
Keane amwambia Mainoo: Kaza! KIUNGO gwiji wa Manchester United, Roy Keane amemtaka Kobbie Mainoo kumthibitishia Kocha Ruben Amorim anafanya makosa kumweka benchi kwa kuhakikisha anapambana kupata namba kwenye kikosi cha...
Henry ampasha Arteta hatutaki kisingizio THIERRY Henry amemwambia Kocha Mikel Arteta majeruhi hayawezi kuwa kisingizio cha kufanya vizuri kwani kinachotakiwa msimu huu Arsenal ni lazima ishinde ubingwa wa Ligi Kuu England.
Kizunguzungu cha mechi ya kwanza AFCON MECHI za ufunguzi kwenye AFCON mara zote zinakuwa tamu kwa wenyeji. Je, Morocco itaendeleza utamaduni?
Bruno Fernandes adai mkewe anamkosoa sana KIUNGO Bruno Fernandes amefichua mkosoaji wake mkubwa ni mkewe, mrembo Ana Pinho.
Enzo Maresca aanza kutajwa Man City Kocha wa Chelsea, Enzo Maresca, ametajwa kama kocha ambaye anaweza kuchukua nafasi ya Pep Guardiola endapo Mhispania huyo ataondoka katika kikosi cha Manchester City msimu ujao.
Mlandege, Singida BS kufungua dimba Mapinduzi Cup 2026 RATIBA ya Kombe la Mapinduzi 2026 imewekwa hadharani ikionyesha Mlandege na Singida Black Stars zitafungua dimba la michuano hiyo Desemba 28, 2025.