Solomon Kalou: Nigeria itatwaa AFCON 2025 kama Ivory Coast itatolewa Aliyekuwa mchezaji wa timu ya taifa ya Ivory Coast, Salomon Kalou, amesema ni nchi yake pekee ndiyo inaweza kuizuia Nigeria kushinda Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2025).
Amorim ajibu tuhuma za Cristiano Ronaldo Kocha wa Manchester United, Ruben Amorim amejibu ukosoaji uliotolewa mshambuliaji wa zamani wa klabu hiyo, Cristiano Ronaldo, mapema wiki hii.
Ugumu wa kumng’oa Osimhen watajwa! KWANINI Manchester United haikumsajili Victor Osimhen kwenye dirisha lililopita?
Maresca ruksa kubadili kikosi KOCHA wa Chelsea, Enzo Maresca amepewa ruhusa na mabosi wake kuendelea kuwapa nafasi ya kucheza mastaa wake kwa kubadilibadili kikosi licha ya kwamba jambo hilo liliifanya timu hiyo kupata sare...
Kocha Man United afunguka tatizo la Mainoo KOCHA, Ruben Amorim amekiri kwamba kufeli kwa Manchester United kufuzu michuano ya Ulaya na kutupwa nje mapema katika Kombe la Ligi kumesababisha madhara makubwa kwa kiungo Kobbie Mainoo.
Kocha Aston Villa afichua ishu ya Martinez KOCHA wa Aston Villa, Unai Emery amethibitisha kwamba kipa Emi Martinez kwa sasa si nahodha msaidizi tena wa kikosi hicho cha Villa Park baada ya kuvuliwa kitambaa hicho kufuatia mchakato wake wa...
Shughuli EPL kuendelea tena wikiendi hii ZUBAA ile kwako. Ndicho unachoweza kusema kwenye mchakamchaka wa mikikimikiki ya Ligi Kuu England wikiendi hii, ambapo macho ya wengi yatakuwa huko kwenye kipute cha Tottenham Hotspur na...
Kocha wa Spurs aweka mezani jina la Ivan Toney KOCHA wa Tottenham hotspur, Thomas Frank anadaiwa kuwasilisha jina la straika wa Al-Ahli, Ivan Toney kwa mabosi wa Spurs akitaka asajiliwe katika dirisha lijalo la majira ya baridi.
Hawa wachezaji bei zao usiguse! HABARI ndo hiyo. Kuna makinda 10 wa Ligi Kuu England katika orodha ya wanasoka wenye umri mdogo na wenye thamani kubwa kwenye soko la dunia kwa sasa.