Jeremy Doku awapagawisha makocha KIWANGO bora cha Jeremy Doku wa Manchester City kwenye mechi ya Liverpool kimewakosha makocha wa timu zote mbili na kummwagia sifa kwa kile alichofanya uwanjani.
Antonio Conte achimba mkwara Napoli KOCHA, Antonio Conte ameripotiwa kuibua shaka kubwa kuhusu hatima yake kwenye kikosi cha Napoli baada ya kuwa mbogo kufuatia kichapo cha kutoka kwa Bologna kwenye mchezo wa Serie A uliofanyika...
Shearer amwangushia jumba bovu Sesko GWIJI wa Newcastle United, Alan Shearer amembebesha lawama straika Benjamin Sesko kuwa ndiye chanzo cha mambo magumu kwenye kikosi cha Manchester United msimu huu.
Mashabiki Manchester City wamtabiria mabaya Arne Slot “UTAFUKUZWA kazi mapema asubuhi,” waliimba mashabiki wa Manchester City kumlenga kocha wa Liverpool, Arne Slot kutokana na mambo yanavyokwenda kombo kwenye kibarua chake cha kuinoa miamba hiyo ya...
Wachezaji Nigeria wachelewa kambini, mazoezi yaahirishwa Kikosi cha timu ya taifa ya Nigeria, Super Eagles, huenda kikaanza mazoezi ya kwanza leo usiku Novemba 10, 2025, kuelekea mechi ya mchujo ya Kombe la Dunia 2026 dhidi ya Gabon itakayochezwa...
Man City ilivyonufaika kwa utata wa VAR Ligi Kuu England MANCHESTER City inabebwa? Swali gumu, lakini kwa namna ya mambo yaliyotokea kwa zaidi ya mara tatu majibu yake yanaweza kujibainisha bayana.
Guardiola afichua alichowaambia wachezaji wake kuhusu Arsenal Meneja wa Manchester City, Pep Guardiola, amefichua kuwa aliwaambia wachezaji wake wasahau matokeo ya 2-2 ya Arsenal dhidi ya Sunderland, kabla ya mechi yao dhidi ya Liverpool jana Jumapili...
Jamie Carragher aukubali mziki wa Arsenal Gwiji wa Liverpool, Jamie Carragher, ameitaja Arsenal kuwa timu bora zaidi katika Ligi ya EPL msimu huu.
Okocha: Sina shaka na Super Eagles, itafuzu Kombe la Dunia 2026 Kiungo mshambuliaji wa zamani wa timu ya taifa ya Nigeria, Austin Jay-Jay Okocha, amesema anaamini Super Eagles ina nafasi kubwa ya kufuzu kwa Kombe la Dunia 2026.