Mastaa hawa kuikamua Man United MANCHESTER United huenda ikalazimika kutumia pesa nyingi sana kwenye dirisha hilo la usajili kuwalipa wachezaji ambao inataka kuwafungulia mlango wa kutokea, waondoke.
Huu hapa msimamo kuhusu straika Gyokeres SPORTING Lisbon imeambia Arsenal haiwezi kushusha kabisa bei inayomuuza straika wake wa mabao Viktor Gyokeres baada ya kusakwa sana kwenye dirisha hili la usajili.
Viktor Gyokeres apewa muda STRAIKA wa Sporting Lisbon na timu ya taifa ya Sweden, Viktor Gyokeres, anayewindwa na Manchester United, Liverpool na Arsenal, amepewa muda wa ziada wa mapumziko na na timu yake wakati suala...
Aston Villa yamtosa jumla Rashford ASTON Villa imethibitisha kwamba hatamsajili jumla winga wa Manchester United, Marcus Rashford.
Chelsea FC yaipa utajiri Brighton HII kali. Chelsea imeilipa Brighton Pauni 257 milioni kwenye miaka ya karibuni, mkwanja ambao unatosha kujenga uwanja wake wa Amex mara tatu.
Kinachokwamisha dili la Gyokeres Arsenal ni hiki SIKU chache baada ya wawakilishi wa Arsenal kuondoka, Ureno bila ya kufikia makubaliano na mabosi wa Sporting Lisbon juu ya mauziano ya Viktor Gyokeres, tovuti ya Independent imefichua ukweli juu...
Man United wao ni Mbeumo tu :MANCHESTER United bado ipo kwenye meza ya mazungumzo na Brentford kwa ajili ya ofa ya kumsajili mshambuliaji Bryan Mbeumo.
Twiga Stars, Banyana Banyana zagawana pointi WAFCON 2025 Timu ya Taifa ya Wanawake ya Tanzania ‘Twiga Stars’ imeipa mshtuko Afrika Kusini ‘Banyana Banyana’ baada ya kuilazimisha sare ya bao 1-1 katika mchezo uliomalizika muda mfupi uliopita wa Kombe la...
Madueke mawazo yote yapo Emirates WINGA wa Chelsea, Noni Madueke hakujali kuhusu fainali ya Kombe la Dunia la Klabu inayopigwa Jumapili baada ya kuondoka kwenye kambi ya timu hiyo kurudi London kwenda kuanza maisha mapya kwenye...
Louis Van Gaal afunguka kupona tezi dume KOCHA Louis van Gaal amefichua ameshinda vita ya kumbana na maradhi ya saratani baada ya kudai sasa hana tena tezi dume.