Usicheke! Hata Man Utd inaweza kubeba EPL msimu huu NENO la onyo. Kinachosemwa ni kwamba kwenye soka namba zinaweza kutumika kutoa taswira ya kitu kinachoweza kwenda kutokea au ambacho hakiwezi kwenda kutokea.
Vichaka anavyoweza kuibukia Neymar Januari SUPASTAA wa boli, Neymar atakuwa mchezaji huru kwenye dirisha la Januari, hivyo ataondoka Santos huku jambo hilo likivutia timu nyingi zinazosaka mchezaji huyo mnyumbulifu uwanjani.
Kocha Spurs afunguka ishu ya Man United KOCHA Thomas Frank amefunguka kwamba alifanyiwa usaili na bosi wa Manchester United, Sir Jim Ratcliffe kwa ajili ya kwenda kuinoa timu hiyo siku moja kabla ya kubeba taji la Kombe la FA mwaka 2024.
Barcelona yarejea Camp Nou, kuanza na Athletic Club KLABU ya Barcelona inatarajiwa kurejea tena kucheza kwenye Uwanja wa Camp Nou.
Liverpool yamtaka Antoine Semenyo akamrithi Salah LIVERPOOL imeendelea kupambana ili kumsajili mshambuliaji wa Bournemouth, Antoine Semenyo, 25, katika dirisha lijalo la usajili wa Januari ili akazibe pengo la staa wao raia wa Misri, Mohamed...
Zidane mambo mazuri Ufaransa ZINEDINE Zidane ameripotiwa kuweka sawa hatima yake ya baadaye kwenye kazi ya ukocha.
Staa Isak hataki kutoa visingizio STRAIKA Alexander Isak amesema hana cha kujitetea juu ya kiwango kibaya kwenye mwanzo wa maisha yake huko Liverpool.
Mashabiki Ureno waibua mjadala mzito, Ronaldo akitajwa MJADALA umeibuka. Mashabiki wa soka wanaamini timu ya taifa ya Ureno inakuwa bora zaidi inapocheza bila ya huduma ya supastaa Cristiano Ronaldo.
Harry Kane: England hii? Tunabeba STRAIKA Harry Kane amesifu kikosi cha sasa cha England kina wachezaji wenye viwango bora kabisa kuwahi kucheza nao katika maisha yake ya soka.
Mashabiki watukutu waandaliwa mpango kabambe FIFA Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) limetangaza vita dhidi ya mashabiki wa soka ambao watakuwa wanatumia mchezo huo kufanya vitendo vya unyanyasaji katika viwanja vya soka na mitandao ya...