DR Congo kuumana na hawa mchujo Kombe la Dunia Wapinzani watano wa DR Congo katika mechi za hatua ya mwisho za mchujo kuwania kufuzu Fainali za Kombe la Dunia 2026 wamejulikana rasmi usiku wa kuamkia leo baada ya mechi za mwisho za hatua ya...
Bado sita tu kufuzu Kombe la Dunia 2026 HADI kufikia leo Jumatano Novemba 19, 2025, tayari timu za mataifa 42 zimejihakikishia nafasi ya kucheza Fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika mwaka 2026 katika nchi za Canada, Mexico na...
ZILIPIGWA: Mapambano 10 bora zaidi ya ngumi duniani muda wote JANGA la Uviko-19 liliyafanya mambo mengi katika maisha ya binadamu kusimama. Miongoni mwa hayo mapambano mengi ya ngumi ambayo mashabiki walikuwa wakiyasubiri kwa hamu yaliahirishwa.
Odegaard awapa kicheko Arsenal, kukipiga na Spurs NAHODHA wa Arsenal, Martin Odegaard amesema ameanza kupona majeraha yake hivyo matumaini yake ni makubwa atakuwapo kwenye mechi ya North London derby, Jumapili.
Awilo, Fuse ODG jukwaa moja Tuzo za CAF 2025 Shirikisho la Soka Afrika (CAF), limetangaza orodha ya wasanii watakaotumbuiza katika hafla ya utoaji Tuzo za CAF 2025, itakayofanyika kesho Jumatano, Novemba 19, 2025 katika Chuo Kikuu cha...
Liverpool yabaniwa kwa Semenyo, lakini haijaisha MPANGO wa Liverpool kutaka kimsajili mshambuliaji wa Bournemouth na timu ya taifa ya Ghana Antoine Semenyo, unakaribia kufa baada ya klabu yake kuendelea kushikilia msimamo wa kutohitaji kumuuza...
Arsenal kuingia sokoni Januari 2026 USHAWAHI kupita kwenye gulio? Kuna lugha zao kule kwenye uuzwaji wa bidhaa ikiwamo ya sagula sagula, kwamba mnunuzi chagua unachokitaka. Hicho ndicho inachokwenda kufanya Arsenal kwenye dirisha...
Kocha England kuwaweka kitako mastaa wake KOCHA mkuu wa England, Thomas Tuchel amepanga kuzungumza na mastaa wake takriban 60 ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kikosi chake kitakachokwenda kwenye fainali za Kombe la Dunia 2026.
Mayele, Hakimi kuna kitu, mchongo upo hivi KESHO Jumatano, kuna hafla ya utoaji Tuzo za CAF 2025, itakayofanyika katika Chuo Kikuu cha Mohammed VI Polytechnic (UM6P) kilichopo Rabat nchini Morocco.
Dabi kuahirishwa ni aibu, ila la Kocha Ahmad ni aibu zaidi VUURUGU za siku kadhaa kuanzia Oktoba 29, ulipofanyika Uchaguzi Mkuu nchini, zilisababisha mambo mengi kusimama ikiwamo michezo.