Simba yabisha hodi Mamelodi, yaondoka na De Reuck De Reuck anategemewa kuziba pengo la Che Fondoh Malone ambaye ameachana na timu hiyo na kujiunga na USM Alger ya Algeria.
Saa ya Messi ya sh2.3 bilioni yazua gumzo STAA wa Inter Miami na Argentina, Lionel Messi ameonekana akiwa amevaa saa ya kifahari ya rangi ya waridi inayojulikana kama Rolex Daytona “Barbie”, yenye thamani ya takribani Pauni 700,000...
Amorim ataka Sesko, Hojlund wacheze wote KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim amebainisha kuwa na mpango wake ambao utawahusisha Benjamin Sesko na Rasmus Hojlund.
Asikwambie mtu! Talaka chungu SAKATA la talaka ya Pep Guardiola na mkewe mrembo Cristina Serra limechukua sura mpya huku likitakiwa kumalizwa haraka.
Waarabu wanamtaka tena Bruno Fernandes AL Nassr ya Saudi Arabia imerudi tena mezani kutaka kumsajili mshambuliaji wa Manchester United, Bruno Fernandes katika dirisha hili ikiwa ni mwezi mmoja tu baada ya kuikataa ofa ya kwanza kutoka...
Isak kuwekewa ngumu Newcastle KOCHA wa Newcastle United, Eddie Howe amesema straika Alexander Isak atapaswa kupambana kwelikweli kurudi kwenye mazoezi ya kikosi cha kwanza.
Mashabiki wa Brazil hatarini kukosa Kombe la Dunia 2026 MASHABIKI wa Brazil wanaotarajia kusafiri kwenda Marekani kwa ajili ya Kombe la Dunia la 2026 huenda wakakataliwa viza kutokana na sheria mpya zilizowekwa na nchi hiyo.
Rashford mambo bado La Liga MARCUS Rashford amefunga bao lake la kwanza Barcelona huku kikosi hicho kikipambana kwa nguvu zote kuhakikisha inamwandikisha Mwingereza huyo ili kuwa na kibali cha kucheza kwenye La Liga.
Rashford kusubiri kwanza Barcelona BARCELONA imefuta mechi ya kwanza ya kirafiki kwenye pre-season jambo litakalomchelewesha Marcus Rashford kuitumikia timu yake mpya mapema.
Duh! Eti Palmer atatua Old Trafford ALIYEKUWA kocha wa kikosi cha kwanza cha Manchester United, Rene Meulensteen amefichua kwamba kuna siku moja kiungo wa Chelsea, Cole Palmer atakwenda kujiunga na miamba hiyo ya Old Trafford kwa...