Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

7991 results for Mwandishi Wetu :

  1. Amorim: Ratcliffe ametupa mzuka

    KOCHA mkuu wa Manchester United, Ruben Amorim anaamini maneno ya bilionea Sir Jim Ratcliffe aliyosema kwamba ana imani na kocha huyo umeamsha morali mkubwa katika kikosi hicho cha Old Trafford.

  2. Van Dijk ajifikiria upya hatima yake

    BEKI wa kati wa Liverpool, Virgil van Dijk ameripotiwa atafikiria hatima ya soka lake baada ya kuiongoza Uholanzi kwenye fainali za Kombe la Dunia 2026.

  3. Kisa Florian Wirtz, Wajerumani wamshutumu Mo Salah 

    Nyota wa Liverpool, Mohamed Salah, ametupiwa lawama na baadhi ya vyombo vya habari vya Ujerumani, vikidai anahusika na mwanzo mgumu wa Florian Wirtz katika klabu hiyo ya Anfiled.

    SALAH Pict
  4. New Caledonia, Jamaica kuamua DR Congo kushiriki Kombe la Dunia 2026

    DR Congo itasubiri mshindi kati ya New Caledonia na Jamaica ili kucheza nayo katika mechi ya kufuzu Fainali za Kombe la Dunia 2026 kupitia mchujo wa mabara (inter-confederation play-offs).

    DR CONGO Pict
  5. Rooney awaweka Semenyo, Mbeumo, Gyokeres pamoja

    WAYNE Rooney amemtaja straika Viktor Gyokeres kwenye orodha ya mastaa wanaofanya vizuri kwenye Ligi Kuu England msimu huu licha ya kuwapo kwa maneno mengi kuhusu ubora wa mshambuliaji huyo wa...

  6. Barca yampiga stop Lewandowski kufunga

    BARCELONA imeripotiwa kumwomba straika Robert Lewandowski asifunge tena mabao wakati wa msimu wake wa kwanza kwenye kikosi hicho cha La Liga.

  7. Wanufaika mnada mtandaoni wafurahia ushindi

    Maisha ya Watanzania yanazidi kuimarika siku hadi siku kutokana na kutumia vizuri mitandao ya kijamii kunakowawezesha kuvuna pesa na bidhaa mbalimbali. Hii inatokana na uwepo wa majukwaa...

    WANU Pict
  8. Arsenal, Manchester City zatabiriwa ubingwa EPL 2025-2026

    Mshambuliaji wa zamani wa Arsenal, Alan Smith, ametaja klabu mbili ambazo anaamini zitashindana kwenye mbio za ubingwa wa Ligi Kuu ya EPL msimu huu 2025-2026.

    BINGWA Pict
  9. Victor Ikpeba: Achraf Hakimi amestahili tuzo ya Afrika

    Mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya Nigeria, Victor Ikpeba, ametaja sababu iliyomfanya beki wa Morocco, Achraf Hakimi, kutangazwa kuwa Mchezaji Bora wa Afrika 2025 (CAF Player of the Year...

    IKPEBA Pict
  10. Asamoah Gyan amtaja bingwa AFCON 2025

    Kuelekea fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2025), mwanasoka wa zamani wa timu ya Taifa ya Ghana, Asamoah Gyan, ametaja nchi tatu ambazo anaamini huenda mojawapo ikatwaa ubingwa wa...

    ASAMOAH Pict
Previous

Page 253 of 800

Next