Amorim: Ratcliffe ametupa mzuka KOCHA mkuu wa Manchester United, Ruben Amorim anaamini maneno ya bilionea Sir Jim Ratcliffe aliyosema kwamba ana imani na kocha huyo umeamsha morali mkubwa katika kikosi hicho cha Old Trafford.
Van Dijk ajifikiria upya hatima yake BEKI wa kati wa Liverpool, Virgil van Dijk ameripotiwa atafikiria hatima ya soka lake baada ya kuiongoza Uholanzi kwenye fainali za Kombe la Dunia 2026.
Kisa Florian Wirtz, Wajerumani wamshutumu Mo Salah Nyota wa Liverpool, Mohamed Salah, ametupiwa lawama na baadhi ya vyombo vya habari vya Ujerumani, vikidai anahusika na mwanzo mgumu wa Florian Wirtz katika klabu hiyo ya Anfiled.
New Caledonia, Jamaica kuamua DR Congo kushiriki Kombe la Dunia 2026 DR Congo itasubiri mshindi kati ya New Caledonia na Jamaica ili kucheza nayo katika mechi ya kufuzu Fainali za Kombe la Dunia 2026 kupitia mchujo wa mabara (inter-confederation play-offs).
Rooney awaweka Semenyo, Mbeumo, Gyokeres pamoja WAYNE Rooney amemtaja straika Viktor Gyokeres kwenye orodha ya mastaa wanaofanya vizuri kwenye Ligi Kuu England msimu huu licha ya kuwapo kwa maneno mengi kuhusu ubora wa mshambuliaji huyo wa...
Barca yampiga stop Lewandowski kufunga BARCELONA imeripotiwa kumwomba straika Robert Lewandowski asifunge tena mabao wakati wa msimu wake wa kwanza kwenye kikosi hicho cha La Liga.
Wanufaika mnada mtandaoni wafurahia ushindi Maisha ya Watanzania yanazidi kuimarika siku hadi siku kutokana na kutumia vizuri mitandao ya kijamii kunakowawezesha kuvuna pesa na bidhaa mbalimbali. Hii inatokana na uwepo wa majukwaa...
Arsenal, Manchester City zatabiriwa ubingwa EPL 2025-2026 Mshambuliaji wa zamani wa Arsenal, Alan Smith, ametaja klabu mbili ambazo anaamini zitashindana kwenye mbio za ubingwa wa Ligi Kuu ya EPL msimu huu 2025-2026.
Victor Ikpeba: Achraf Hakimi amestahili tuzo ya Afrika Mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya Nigeria, Victor Ikpeba, ametaja sababu iliyomfanya beki wa Morocco, Achraf Hakimi, kutangazwa kuwa Mchezaji Bora wa Afrika 2025 (CAF Player of the Year...
Asamoah Gyan amtaja bingwa AFCON 2025 Kuelekea fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2025), mwanasoka wa zamani wa timu ya Taifa ya Ghana, Asamoah Gyan, ametaja nchi tatu ambazo anaamini huenda mojawapo ikatwaa ubingwa wa...