Waliofuzu, wanaopewa nafasi ya kubeba Kombe la Dunia 2026 FAINALI za Kombe la Dunia 2026 zinahesabu miezi tu kabla ya kuanza rasmi, huku zikiwa zimebaki timu sita tu ili kupata idadi kamili ya miamba itakayochuana kwenye kusaka ubingwa huo wa dunia.
Arsenal vs Spurs... Gemu lenye ufundi mwingi LIGI imerudi na gumzo la wikiendi ni kipute cha North London Derby.
Ligi Kuu England ni mchakamchaka chinja! ULE utamu wa Ligi Kuu England unarudi tena wikiendi hii, kila timu ikijaribu kusaka ushindi muhimu katika mchakamchaka wa ligi hiyo yenye ubabe mwingi.
Hakuna namna ni Harry Kane tu! CHUMA kimoja kikitoka, kingine kinaingia. Hicho ndicho kinachopangwa kufanyika huko Barcelona katika msako wa kusaka straika mpya wa kucheza kwenye fowadi yao msimu ujao.
Semenyo apiga goti kubeba kimwana MSHAMBULIAJI Antoine Semenyo amekuwa akisakwa kwelikweli kuelekea dirisha lijalo la usajili kutokana na kile anachofanya huko Bournemouth, lakini kwa wanaomtaka nje ya uwanja hilo amelifunga...
Wales yapewa 30%, Italia 62% kufuzu WALES imepewa nafasi ya asilimia 30 ya kufuzu kucheza fainali za Kombe la Dunia 2026.
Sadio Mane atoa stori ya Jurgen Klopp STAA Sadio Mane amefichua kwamba ameombwa radhi na kocha Jurgen Klopp baada ya kushindwa kumsajili wakati akiwa Borussia Dortmund ya Ujerumani.
Arsenal, Spurs jino kwa jino dili la Scott McTominay ARSENAL inatazama uwezekano wa kumsajili kiungo wa Napoli na timu ya taifa ya Scotland, Scott McTominay, 28, katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi.
Palmer majanga! Kuzikosa Barcelona, Arsenal baada ya kuvunjika kidole KOCHA wa Chelsea, Enzo Maresca amekiri Cole Palmer amepata jeraha jingine jipya kabla ya safari ya Jumamosi kwenda Burnley katika mechi ya Ligi Kuu England (EPL).
Gattuso apendekeza Ligi Kuu Italia isimame kwa muda Kocha wa timu ya taifa ya Italia, Gennaro Gattuso, ameomba mechi za Serie A zilizopangwa kabla ya mechi za mchujo wa kufuzu Kombe la Dunia 2026, ziahirishwe ili kutoa muda kwa kikosi hicho...