Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8749 results for Mwandishi :

  1. Gwiji wa Southampton anusurika kifo Uholanzi

    Mchezaji wa zamani wa Ligi ya EPL, Eljero Elia, amenusurika kifo baada ya ajali mbaya iliyohusisha magari matatu nchini Uholanzi.

    GWIJI Pict
  2. Garathe Southgate hataki dili la Man United

    TAARIFA za ndani zinadai mabosi wa Manchester United wamepokea taarifa za kushangaza kuhusu kocha Gareth Southgate ambaye alikuwa katika mipango yao ya kwenda kuchukua kijiti kutoka kwa Ruben...

  3. Potter afungashiwa virago West Ham

    KOCHA Graham Potter ametimuliwa na West Ham United saa chache zilizopita, licha ya kuongoza mazoezi kwa wiki nzima kuelekea mechi za wikiendi hii.

  4. Pamba Jiji yabanwa nyumbani

    PAMBA Jiji jana ikicheza kwa mara ya kwanza mechi y Ligi Kuu Bara ikiwa nyumbani ilibanwa mbavu na Watoza Ushuru wa TRA United baada ya kutoka suluhu kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, jijini Mwanza.

    PAMBA Pict
  5. Roberto Martinez: Ronaldo ni mfano wa kuigwa, anajua anachokifanya

    Kocha wa timu ya taifa ya Ureno, Roberto Martinez, amemwagia sifa nahodha na mshambuliaji wa kikosi chake, Cristiano Ronaldo, kuelekea mechi za kufuzu Kombe la Dunia 2026 dhidi ya Ireland na...

    RONALDO Pict
  6. Kinda Real Madrid amtaja Messi mchezaji wake bora namba moja

    Nyota chipukizi wa Real Madrid, Franco Mastantuono, amemtaja Lionel Messi kama mchezaji wake bora namba moja anayemvutia.

    MASTANTUONO Pict
  7. Pauni 1.56 bilioni zaipaisha Chelsea, yatajwa kuwa kinara

    BAADA ya usajili wa maana uliofanywa kwa takribani misimu miwili, Chelsea imekuwa timu yenye thamani kubwa zaidi duniani katika soka.

    CHELSEA Pict
  8. Rafiki ampa ushauri wa bure Pep Guardiola

    MKUFUNZI Carles Planchart ambaye ni miongoni mwa watu wanaoaminiwa sana na Pep Guardiola amemshauri kocha huyo kuondoka Manchester City mwisho wa msimu huu.

    GUARDIOLA Pict
  9. Mashabiki England wamvuruga Thomas Tuchel

    Kocha Thomas Tuchel alionekana kuwa mwenye hasira licha ya England kupata ushindi mzuri dhidi ya Wales katika mechi ya kirafiki ya kimataifa iliyofanyika nyumbani kwao jana Alhamisi, Oktoba 09...

    TUCHEL Pict
  10. Vázquez aibua upya kashfa ya Barcelona kuwahonga waamuzi La Liga

    Beki wa zamani wa Real Madrid, Lucas Vázquez amevunja ukimya kuhusu kashfa ya Negreira ambayo imelitingisha soka ya Hispania, akisema kuwa ni jambo gumu kuelezea na linaacha maswali mengi kuhusu...

    VAZQUEZ Pict
Previous

Page 239 of 875

Next