Napoli yatimua kocha kabla ya kuivaa Barcelona Klabu ya Napoli imetangaza kuachana na kocha wake wa muda Walter Mazzarri na kumpa timu hiyo Francesco Calzona, ambaye ataisimamia hadi mwishoni mwa msimu huu
Kocha AS Monaco ataja sababu Paul Pogba kutocheza KOCHA wa AS Monaco, Adi Hutter ameweka wazi sababu ya kiungo wao Paul Pogba kutokuwapo uwanjani licha ya kuwa huru kutoka kwenye adhabu ya matumizi ya dawa zinazozuiwa michezoni iliyoisha miezi...
Staa Man United aamriwa kutumikia kifungo jela Mchezaji wa zamani wa Manchester United, Anderson Luís de Abreu Oliveira maarufu kama Anderson ameamriwa kutumikia kifungo cha siku 30 jela iwapo hatatoa kiasi cha Pauni 142,000 kwa ajili ya...
Kocha afichua Benfica ilivyomkosa Joao Felix ALIYEKUWA kocha wa Benfica, Bruno Lage, amefichua sababu za klabu hiyo kushindwa kumsajili Joao Felix kutoka Chelsea wakati wa msimu wa joto, na hatimaye akatimkia Al-Nassr ya Saudi Arabia.
PSG, Barca ni mechi ya kisasi LIGI ya Mabingwa inaendelea tena kesho lakini macho na masikio yote yatakuwa pale Lluis Companys Olympic Stadium na wenyeji Barcelona watakuwa wanaikaribisha Paris Saint-Germain katika mechi ya...
Pigo Liverpool, Alisson kuikosa Chelsea Jumamosi KIPIGO cha bao 1-0 ilichopata Liverpool kutoka kwa Galatasaray kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya, kimeongeza maumivu mara mbili baada ya kipa namba moja wa kikosi hicho, Alisson Becker kuripotiwa...
Msikie Enzo Maresca ishu ya nidhamu mbovu Chelsea JINAMIZI la kadi nyekundu limeendelea kuikabili Chelsea ambayo sasa mechi nne za karibuni wachezaji wake watatu wamekumbana na adhabu hiyo baada ya jana Joao Pedro kutolewa uwanjani kwenye mechi...
Saliba afunguka kuikacha Real Madrid BEKI kisiki wa Arsenal, William Saliba ameweka wazi kwamba alikataa kujiunga na Real Madrid na kuendelea kubalia Arsenal kwa sababu bado hajakamilisha jambo moja ambalo ni kushinda mataji na...
Barcelona yasema jambo ishu ya Rashford MKURUGENZI wa michezo wa Barcelona, Deco amesisitiza kwamba klabu hiyo imevutiwa sana na kiwango ambacho mshambuliaji wa kimataifa wa England, Marcus Rashford amekionyesha lakini haitokuwa na...
Van Dijk, Mo Salah waangushiwa jumba Liverpool WAYNE Rooney amesema mastaa wawili wa Liverpool, Virgil van Dijk na Mohamed Salah wanapaswa kupambana kwa nguvu zao kumsaidia Kocha Arne Slot.