Mashabiki 18,000 kushuhudia Mashemeji Dabi, polisi 300 kulinda usalama
Mashabiki 18,000 pekee wataruhusiwa kuingia Uwanja wa Nyayo, Jumapili Desemba 7, 2025 kushuhudia mechi ya Ligi Kuu ya Kenya kati ya mahasimu wa jadi, Gor Mahia na AFC Leopards, timu mwenyeji...