PSG yabanwa ugenini, Ajax ikipata ushindi wa kwanza UEFA
Mabingwa watetezi wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, Paris St-Germain (PSG) wameshindwa kuifunga Athletic Club licha ya kutawala mchezo. Hata hivuo, bado wana nafasi nzuri ya kusonga mbele hatua ya 16 bora.