Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8733 results for Mwandishi :

  1. Mabosi wapya BD Februari 22

    MWENYEKITI wa Kamati ya Uchaguzi wa Chama cha Mpira wa Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BD), Okare Emesu, amesema chama hicho kinatarajia kupata viongozi wapya kupitia Uchaguzi Mkuu utakaofanyika...

    BD Pict
  2. Haaland bado anaumwa, Arsenal kicheko

    KOCHA wa Manchester City, Pep Guardiola, amekiri kuwa Erling Haaland hayuko fiti kwa asilimia 100 baada ya kutoonekana uwanjani katika mechi ya Kombe la FA dhidi ya Salford.

    HAALAND Pict
  3. Kane aipa ubingwa wa UEFA PSG

    MSHAMBULIAJI wa Bayern Munich, Harry Kane amesema Paris Saint-Germain ina nafasi kubwa ya kutwaa taji la Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Arsenal na anaona itakuwa mechi yenye ushindani mkubwa.

  4. UEFA yafafanua sababu ya Arsenal kunyimwa penalti

    SHIRIKISHO la Soka Ulaya (UEFA), limetoa ufafanuzi kuhusu tukio la utata lililopelekea Arsenal kunyimwa penalti katika mechi ya nusu fainali ya mkondo wa kwanza ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya...

    UEFA Pict
  5. Kisa Rosenior, Scholes aiponda Chelsea

    KIUNGO wa zamani wa Manchester United, Paul Scholes ameishambulia vikali bodi ya Chelsea akidai ilikuwa ‘kichaa’ kumteua Liam Rosenior kuwa kocha mkuu wa timu hiyo.

  6. UEFA kumbakiza Bruno Old Trafford

    MANCHESTER United United inaamini kufuzu kwao kushiriki Ligi ya Mabingwa Ulaya kutatosha kumshawishi nyota wao Bruno Fernandes kuendelea kubaki katika viunga vya Old Trafford na kuondoa uwezekano...

  7. Toni Kroos kufuata nyayo za Zidane Real Madrid 

    KIUNGO gwiji wa zamani wa timu ya taifa ya Ujerumani, Toni Kroos, anaripotiwa kuwa mbioni kurejea kwa hisia ndani ya klabu ya Real Madrid ikiwa ni miezi michache tangu atangaze kustaafu soka.

    KROOS Pict
  8. Salah aipa Liverpool matumaini

    LIVERPOOL ina matumaini nyota wao Mohamed Salah atarejea uwanjani kabla ya kuondoka mwishoni mwa msimu huu.

    SALAH Pict
  9. Casemiro ang’ang’ania kuondoka Man United mwisho wa msimu

    KIUNGO mkongwe wa Manchester United, Casemiro ameweka wazi hatma yake kwa kusisitiza kuwa hatabadili uamuzi wake wa kuondoka klabuni hapo mwishoni mwa msimu huu, licha ya wito kutoka kwa...

  10. Simeone: Tumebadili hoteli ili kubana matumizi, sio ushirikina

    KOCHA wa Atletico Madrid, Diego Simeone, amepuuza madai kuwa alibadili hoteli ya timu hiyo jijini London kutokana na imani za kishirikina, akisisitiza kuwa uamuzi huo ulilenga kuokoa fedha za klabu.

    SOMIONE Pict
Previous

Page 217 of 874

Next