Ikanga Speed anatupia tu DR Congo UNAWEZA kusema winga Jonathan Ikangalombo ‘Ikanga Speed’ gari limewaka akiwa kwao DR Congo kufuatia kasi yake aliyonayo ya upachikaji mabao.
Ishu ya Viktor Gyokeres, Arteta awaonya wapinzani KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta amewaonya wapinzani wa Arsenal katika michuano mbalimbali kuwa straika wao Viktor Gyokeres, ambaye hajafunga sana tangu kuanza kwa msimu, atakuwa mchezaji tofauti...
Jeraha la Isak, Slot atoa neno BAADA ya sintofahamu kuhusu majeraha ya straika wa Liverpool, Alexander Isak, kocha wa timu hiyo Arne Slot amesema timu ya madaktari itatathmini ukubwa wa jeraha lake na kutoa taarifa zaidi.
Kodi zampukutisha Anthony Joshua LICHA ya kumchapa Jake Paul kwa KO, bondia Anthony Joshua ameripotiwa kuwa atapoteza pesa nyingi ambazo ni karibu ya nusu ya malipo yake ya Pauni 70 milioni aliyopata katika pambano hilo.
AFCON sasa kila baada ya miaka minne ULE utamaduni wa michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) kufanyika kila baada ya miaka miwili, unaenda kufa kutokana na mbadiliko yaliyofanywa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF).
Bingwa AFCON 2025 kubeba Sh 24 Bilioni RAIS wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF), Dk Patrice Motsepe ametangaza ongezeko la 43% la fedha za zawadi kwa bingwa wa michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 iliyoanza jana huko...
Hizi hapa mechi kumi kali za AFCON tangu 1957 FAINALI za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 zinaanza Morocco kesho Jumapili zikiandika ukurasa mwingine katika historia ya mashindano haya yaliyoanza rasmi mwaka 1957 yakijikita mizizi...
Hakimi freshi, yupo tayari kwa AFCON 2025 MCHEZAJI Bora wa Afrika na nyota wa Morocco, Achraf Hakimi, amesema amepona jeraha la kifundo cha mguu na yuko tayari kucheza katika Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) inayoanza leo Jumapili.
NI HUZUNI: Vifo vilivyoshtua dunia mwaka 2025 MWAKA 2025 ni miongoni mwa miaka iliyobeba huzuni na mshtuko mkubwa kwa mashabiki wa michezo na burudani duniani. Huu ni mwaka ambao umeshuhudiwa baadhi ya mtukio makubwa ya kuhuzunisha ikiwemo...
Maumivu ya gharama EPL! MANCHESTER United imeingia gharama kubwa kwa wachezaji majeruhi katika kipindi cha misimu mitano iliyopita ikitumia Pauni 155 milioni, ikiwa ni kiwango kikubwa kuliko klabu nyingine yoyote kwenye...