Koulibaly: Siwezi kulinganisha AFCON na Kombe la Dunia
Beki na nahodha wa Senegal, Kalidou Koulibaly, amesema hawezi kufananisha hatua ya kufuzu Kombe la Dunia na kutwaa ubingwa wa AFCON, akisisitiza kuwa mashindano ya dunia yana uzito wa kipekee kwa...