Ben White atibua hesabu za Arteta Beki wa Arsenal, Ben White atakuwa nje ya uwanja kwa muda usiopungua mwezi mmoja baada ya kupata maumivu ya misuli.
Alonso ajiingiza kesi ya Barca KOCHA wa Real Madrid, Xabi Alonso amemtaka rais wa miamba hiyo Florentino Perez kutafuta haki baada ya kuwapo na kashfa ya rushwa inayowahusisha mahasimu wao wakuu kwenye La Liga, Barcelona.
Aubameyang kukosa moja AFCON 2025 MSHAMBULIAJI mkongwe Pierre-Emerick Aubameyang ataukosa mchezo wa kwanza wa Gabon katika Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) litakaloanza wikiendi hii lakini anatarajiwa kupona jeraha la paja na...
Uganda yawahi mapema Morocco WAPINZANI wa Tanzania katika michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon) 2025 Uganda The Cranes wamewahi mapema Morocco karibu siku 11 kabla ya kuanza kwa fainali hizo Jumapili hii.
Muvi ya wiki One Night In Bangkok KAI Kahale nafasi iliyoigizwa na mkongwe wa filamu za mapigano, Mark Dacascos, mtu mwenye sura ya upole na utulivu aliyeibuka Bangkok, Thailand akiwa na siri nzito kifuani iliyojaa chuki ya...
Navas kumfuata Messi Miami STAA wa zamani wa Real Madrid, Keylor Navas anaweza kujiunga na Lionel Messi katika kikosi cha Inter Miami kinachoshiriki Ligi Kuu Marekani maarufu Major League mwishoni mwa msimu huu.
Sare ya Simba yalinda rekodi ya Yanga Simba juzi Alhamisi, Machi 19, 2026 ililazimishwa sare ya bao 1-1 na Pamba Jiji katika mechi ya Ligi Kuu ya NBC iliyochezwa kwenye Uwanja wa CCM Kirumba Mwanza.
Mykhailo Mudryk aibuka na muonekano mpya akiwa kwenye adhabu WINGA wa Chelsea, Mykhailo Mudryk ameonekana tofauti na alivyozoeleka, huku nyota huyo akiendelea na mazoezi binafsi wakati akiwa amefungiwa kujihusisha na soka.
Mason Greenwood kuipa United mkwanja mzito STAA wa Marseille Mason Greenwood anatarajiwa kuipa Manchester United kiasi kikubwa cha pesa ikiwa atafanikisha dili lake la kujiunga na Juventus katika dirisha lijalo.
Kocha Chelsea awakingia kifua mastaa KOCHA wa Chelsea, Liam Rosenior amekanusha vikali madai kwamba wachezaji wa klabu hiyo hawajitoi vya kutosha baada ya kipigo cha mabao 3-0 ugenini dhidi ya Everton.