Ishu ya Daka mashabiki watolewa hofu DAKTARI wa timu ya taifa ya Zambia, Wesley Ngongo, amewatoa hofu mashabiki na kutaka kuzipuuzia mbali tetesi zilizosambaa mitandaoni kuwa mshambuliaji Patson Daka alipata jeraha la shingo wakati...
Bafana Bafana yaipigia hesabu Misri AFCON 2025 BAFANA Bafana ina matumaini ya kuendeleza mwanzo mzuri katika michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika 2025 itakapokutana na Misri katika mechi ya pili wa Kundi B itakayochezwa Agadir kesho Ijumaa.
Hizi hapa 'Facti' za AFCON 2025, Morocco 6 – MASHUTI sita ya Sadio Mane yaliyolenga goli dhidi ya Botswana ndiyo mengi zaidi kuwahi kupigwa na mchezaji mmoja kwenye mechi ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) tangu mwaka 2010.
Carragher ataja mziki wake Ligi Kuu England JAMIE Carragher hakuwa na namna zaidi ya kuwaomba radhi mashabiki wa Chelsea kutokana na kile alichokifanya cha kutangaza kikosi chake bora cha msimu kwenye Ligi Kuu England hadi sasa.
Semenyo ameshafanya uamuzi anakwenda wapi WINGA, Antoine Semenyo ameshafanya uamuzi kwamba atakwenda kujiunga na Manchester City katika dirisha la usajili la Januari.
Kumbe Haaland anachota maujuzi kwa Solskjaer STRAIKA wa mabao, Erling Haaland amesema amekuwa akichota ujuzi kutoka kwa Ole Gunnar Solskjaer ili kuhakikisha Manchester City imefikia malengo yao makubwa ya kunyakua taji la Ligi Kuu England.
Msikieni Guardiola anayesemwa anasepa KOCHA, Pep Guardiola amesema anafurahia kuwa kocha wa Manchester City licha ya kuwapo na uvumi unaozagaa kwamba ataachana na miamba hiyo ya Etihad mwishoni mwa msimu.
Gallagher atajwa mbioni kutua Old Trafford BENCHI la ufundi la Manchester United limeorodhesha majina ya viungo saba wanaowafuatilia kwa ajili ya kuimarisha safu ya kiungo na staa wa Atletico Madrid na timu ya taifa ya England, Conor...
Havertz yupo tayari kwa kazikazi Arsenal FOWADI wa Arsenal, Kai Havertz anaendelea vyema kupona majeraha yake yaliyotokana na kufanyiwa upasuaji wa goti ambalo lilimfanya kuwa nje ya uwanja kwa muda mrefu.
Isak haijulikani atarudi lini dimbani STRAIKA Alexander Isak amefanyiwa upasuaji baada ya kuvunjika mfupa wa mguu katika mechi dhidi ya Tottenham.