Harry Kane anaua tu, aweka rekodi hii STAA wa Bayern Munich, Harry Kane ameweka rekodi baada ya kufunga mabao mawili katika mechi ya Bundesliga dhidi ya Werder Bremen na kufikisha jumla ya mabao 500 tangu aanze kucheza soka la kulipwa.
Mabosi wapya BD Februari 22 MWENYEKITI wa Kamati ya Uchaguzi wa Chama cha Mpira wa Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BD), Okare Emesu, amesema chama hicho kinatarajia kupata viongozi wapya kupitia Uchaguzi Mkuu utakaofanyika...
No Tuchel, no Ancelotti Man United! UNAWEZA kusema dua za Michael Carrick zinapokelewa kimyakimya kutokana na kuongezeka kwa makocha wanaohusishwa na kibarua chake anachofanya kwa sasa kusaini mikataba kwingineko.
Spurs yamchukua Tudor aokoe jahazi TOTTENHAM Hotspur imemgeukia Igor Tudor kuwa kocha wa muda hadi mwisho wa msimu.
Barca ikimtosa Rashford fresh tu NDO hivyo. Barcelona haitatozwa faini yoyote ya kifedha iwapo itaamua kusitisha mpango wa kumsajili jumla mshambuliaji Marcus Rashford mwishoni mwa msimu huu wakati mkopo wake utakapofika tamati.
Crouch, Keown wabishana kuhusu Eze wa Arsenal NOMA sana. Staa, Eberechi Eze ameambiwa kuwa Mikel Arteta “hamkubali sana” kufuatia kikosi hicho kubanwa na Brentford katika mchezo wa Ligi Kuu England uliofanyika Alhamisi iliyopita.
CR7 kufungua baa, hoteli huko England SUPASTAA Cristiano Ronaldo amefichua mpango wake wa kupanua biashara yake ya hoteli na baa huko England.
Real Madrid yatoa majibu kuhusu Endrick ARSENAL, Chelsea na Tottenham Hotspur zimeambiwa aziwezi kumpata mshambuliaji chipukizi wa Brazil, Endrick, 19, katika dirisha lijalo la kiangazi.