Spurs kushusha vyuma vya maana MABOSI wa Tottenham wametenga Pauni 150 milioni kwa ajili ya usajili dirisha la majira ya baridi.
Bruno, Mainoo kuikosa Newcastle KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim amesema hatarajii kuona Bruno Fernandes wala Kobbie Mainoo wakicheza mechi ya leo ya Ligi Kuu England ya Boxing Day dhidi ya Newcastle kutokana na...
Joshua anarudi tena ulingoni BONDIA kutoka England, Anthony Joshua amepewa ofa ya kupigania taji la dunia siku chache tu baada ya ushindi wake wa KO katika pambano dhidi ya Jake Paul.
Rashford atoboa siri kurejea kwenye kiwango MARCUS Rashford amefichua sababu ya kurejea kwake katika kiwango bora tangu aondoke Manchester United.
Riyad Mahrez apuuza wakosoaji Algeria NAHODHA wa Algeria, Riyad Mahrez, amesema mabao mawili aliyofunga katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Sudan juzi usiku kwenye mechi ya Kundi E ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON)...
Mbeumo awasha 'moto' Cameroon ikiipiga Gabon AFCON CAMEROON imeanza vyema kampeni ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 kwa ushindi wa jasho wa bao 1-0 dhidi ya Gabon, huku nyota wa Manchester United, Bryan Mbeumo akiwa mhusika...
TMA Stars yawapa ‘thank you’ kocha na wasaidizi wake Klabu ya TMA Stars FC kupitia kwa Katibu wake Mkuu, Mbwana Hamad Mbwana umetangaza kusitisha mkataba na aliyekuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo Habibu Kondo pamoja na wasaidizi wake.
Sauti zisizoisha ladha Krismasi KRISMASI ni kipindi kinachochangamsha mioyo kwa furaha, upendo na matumaini kwa waumini wa dini ya Kikristo nchini na duniani kwa ujumla.
Mahrez aanza kwa moto Afcon 2025 MABAO mawili ya Riyad Mahrez yalitosha kwa Algeria kupata ushindi wa kibabe dhidi ya Sudan iliyocheza na wachezaji 10 uwanjani katika mechi yao ya kwanza ya Kundi E la mashindano ya Afcon 2025...
Burkina Faso yashinda kwa mabao ya jioniii BURKINA Faso ilifunga mara mbili ndani ya dakika za majeruhi kupindua meza dhidi ya Equatorial Guinea na kushinda 2-1 katika mchezo wa Kundi E mashindano ya Afcon 2025 uliofanyika uwanjani Stade...