Algeria yapata pigo kabla ya kuivaa Sudan KIUNGO nyota wa Algeria, Houssem Aouar, ameiondoa kikosi cha timu ya taifa kilichopo Morocco kwa ajili ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025, ikiwa ni siku chache kabla ya...
Jeraha la Isak, Slot atoa neno BAADA ya sintofahamu kuhusu majeraha ya straika wa Liverpool, Alexander Isak, kocha wa timu hiyo Arne Slot amesema timu ya madaktari itatathmini ukubwa wa jeraha lake na kutoa taarifa zaidi.
Duh! Morocco ilijiandaa mwaka na nusu KOCHA wa timu ya taifa ya Morocco, Walid Regragui, amesema kikosi chake na benchi la ufundi kwa ujumla walijiandaa kwa mwaka mmoja na nusu kwa ajili ya kucheza mechi ya ufunguzi katika michuano...
Benin yachimba mkwara mzito BENIN imepanga kufanya vizuri kwenye mashindano ya Afcon 2025 ikiamini imeandaa kikosi chake kwa ajili ya kuonyesha makali ya hali ya juu wakati kikishiriki kwa mara ya tano mikikimikiki hiyo ya...
Tunisia yajipa matumaini Afcon 2025 TUNISIA inaamini itaanza vizuri kabisa katika kampeni yao ya kusaka ubingwa wa Afrika wakati wa mashindano ya Afcon 2025 ambapo mechi ya kwanza itakipiga na Uganda kwenye Uwanja wa Olimpiki wa...
Cristiano Ronaldo bado tishio, afunga mwaka na rekodi yake STAA wa kimataifa wa Ureno, Cristiano Ronaldo amefikisha bao lake la 40 mwaka huu na kuendelea kusogea karibu na ndoto yake ya kufunga mabao 1,000 katika maisha yake ya soka.
Tuzo mpya ya mchezaji bora wa mechi gumzo TUZO mpya ya Mchezaji Bora wa Mechi (Man of the Match) imeanza kutolewa rasmi katika Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025, huku ikizidi kuwa gumzo kutokana na kupokewa vyema kwa sifa za muundo...
Mahrez aipeleka Algeria mtoano WINGA wa boli, Riyad Mahrez alifunga bao lake la tatu katika mechi mbili alizocheza kwenye mashindano ya Afcon 2025, akitikisa nyavu kwa mkwaju wa penalti kuipa Algeria ushindi wa 1-0 dhidi ya...
Ivory Coast, Cameroon hakuna kutambiana STAA boy, Amad Diallo amefunga bao lake la pili kwenye mashindano ya Afcon 2025 wakati mabingwa watetezi Ivory Coast walipotoka sare ya 1-1 dhidi ya Cameroon katika mechi ya vuta nikuvute...
Declan Rice ndo jembe lao Arsenal HABARI ndo hiyo. Kocha wa Arsenal, Mikel Arteta aliingia sokoni kwenye dirisha lililopita la majira ya kiangazi kunasa kiungo wa chini ili kumfanya Declan Rice aanze kuonyesha mavitu yake uwanjani.