Napoli bado inamtaka Mainoo, Man United yamzuia ikitaja sababu KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim anadaiwa kuzuia mpango wa kuondoka kwa kiungo wao, Kobbie Mainoo dirisha lijalo la majira ya baridi licha ya kuhusishwa kuondoka.
Kocha Man United atoa msisitizo, asema hauzwi mtu KOCHA Mkuu wa Manchester United, Ruben Amorim amesema hakuna mchezaji atakayeuzwa kwenye dirisha la Januari kama hatakuwa amepatikana mbadala wake.
Reijnders: Jamani mimi sio De Bruyne KIUNGO wa Manchester City, Tijjani Reijnders amewaambia mashabiki wake kwamba yeye sio Kevin De Bruyne mpya.
Rashford ni kama karusha kijembe hivi MARCUS Rashford amefunguka sababu zinazomfanya ang'are huko Barcelona tangu alipoachana na Manchester United.
Mzigo wa AFCON 2025 upo Boxing Day MERRY Christmas. Na kesho, Alhamisi ni Boxing Day, ambapo huko kwenye mikikimikiki ya AFCON 2025, vigogo wanane wa soka watakuwa na kazi ya kufungua maboksi ya zawadi kwa mashabiki wao...
Baada ya miaka 20 Jerry Tegete atundika daruga KATIKA jiji la Mwanza, nyumba ya familia ya Tegete inabeba simulizi la vizazi viwili vilivyochagua soka kama maisha yao. Hapa ndipo nilipopata nafasi ya kuzungumza na nyota wa zamani wa Yanga na...
Dube, Diarra mzigoni leo AFCON 2025 RAUNDI ya pili ya mechi za makundi ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika 2025 inaendelea leo Ijumaa kwa mechi nne zinazojumuisha timu za Kundi A na B ambazo zina baadhi ya wachezaji...
Barcelona yajitoa kwa Marc Guehi, Liverpool freshi BARCELONA ilifanya mazungumzo na wakala wa beki wa Crystal Palace na timu ya taifa ya England, Marc Guehi, 25, ili kumsajili dirisha lijalo la majira ya kiangazi lakini kwa sasa imesitisha mpango...
Kisa Krismasi, Arsenal hesabu hazitaki ITAKUAJE? Ndicho wanachojiuliza mashabiki wa Arsenal ambao kila wakifikiria rekodi za nyuma za timu hiyo katika mchaka mchaka wa Ligi Kuu England ifikapo Krismasi, hesabu za msimu huu hazisomi.
Amad atupia Ivory Coast ikishinda kidude STAA wa Manchester United, Amad Diallo amefunga bao maridadi kuipa mabingwa watetezi wa Afcon, Ivory Coast ushindi muhimu dhidi ya Msumbiji kwenye mechi yao ya kwanza ya Kundi F kwenye mashindano...