Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

7953 results for Mwandishi Wetu :

  1. Napoli bado inamtaka Mainoo, Man United yamzuia ikitaja sababu

    KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim anadaiwa kuzuia mpango wa kuondoka kwa kiungo wao, Kobbie Mainoo dirisha lijalo la majira ya baridi licha ya kuhusishwa kuondoka.

    FUNUNU Pict
  2. Kocha Man United atoa msisitizo, asema hauzwi mtu

    KOCHA Mkuu wa Manchester United, Ruben Amorim amesema hakuna mchezaji atakayeuzwa kwenye dirisha la Januari kama hatakuwa amepatikana mbadala wake.

    AMORIM Pict
  3. Reijnders: Jamani mimi sio De Bruyne

    KIUNGO wa Manchester City, Tijjani Reijnders amewaambia mashabiki wake kwamba yeye sio Kevin De Bruyne mpya.

    REIJNDERS Pict
  4. Rashford ni kama karusha kijembe hivi

    MARCUS Rashford amefunguka sababu zinazomfanya ang'are huko Barcelona tangu alipoachana na Manchester United.

    RASHFORD Pict
  5. Mzigo wa AFCON 2025 upo Boxing Day

    MERRY Christmas. Na kesho, Alhamisi ni Boxing Day, ambapo huko kwenye mikikimikiki ya AFCON 2025, vigogo wanane wa soka watakuwa na kazi ya kufungua maboksi ya zawadi kwa mashabiki wao...

  6. Baada ya miaka 20 Jerry Tegete atundika daruga

    KATIKA jiji la Mwanza, nyumba ya familia ya Tegete inabeba simulizi la vizazi viwili vilivyochagua soka kama maisha yao. Hapa ndipo nilipopata nafasi ya kuzungumza na nyota wa zamani wa Yanga na...

  7. Dube, Diarra mzigoni leo AFCON 2025

    RAUNDI ya pili ya mechi za makundi ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika 2025 inaendelea leo Ijumaa kwa mechi nne zinazojumuisha timu za Kundi A na B ambazo zina baadhi ya wachezaji...

  8. Barcelona yajitoa kwa Marc Guehi, Liverpool freshi

    BARCELONA ilifanya mazungumzo na wakala wa beki wa Crystal Palace na timu ya taifa ya England, Marc Guehi, 25, ili kumsajili dirisha lijalo la majira ya kiangazi lakini kwa sasa imesitisha mpango...

  9. Kisa Krismasi, Arsenal hesabu hazitaki

    ITAKUAJE? Ndicho wanachojiuliza mashabiki wa Arsenal ambao kila wakifikiria rekodi za nyuma za timu hiyo katika mchaka mchaka wa Ligi Kuu England ifikapo Krismasi, hesabu za msimu huu hazisomi.

  10. Amad atupia Ivory Coast ikishinda kidude

    STAA wa Manchester United, Amad Diallo amefunga bao maridadi kuipa mabingwa watetezi wa Afcon, Ivory Coast ushindi muhimu dhidi ya Msumbiji kwenye mechi yao ya kwanza ya Kundi F kwenye mashindano...

    New Content Item (1)
Previous

Page 206 of 796

Next