Don Carlo anavyoanza kukolea ngoma za Kibrazili UZEE mwisho vijijini, ndivyo wanavyodai watoto wa mjini.
Endrick ruksa kuondoka Real Madrid REAL Madrid inaangalia uwezekano wa kumuuza mshambuliaji wao chipukizi raia wa Brazil, Endrick mwenye umri wa miaka 19, mara atakaporejea kutoka kwa mkopo Olympique Lyon.
Greenwood asababisha bosi kuondoka Marseille MKURUGENZI wa michezo wa Olympique Marseille, Medhi Benatia, amejiuzulu wadhifa wake kufuatia taarifa za hivi karibuni kuhusu mgogoro wake na mchezaji Mason Greenwood.
Van Persie apambana Sterling aanze kucheza WINGA machachari, Raheem Sterling amekamilisha uhamisho kwenda Feyenoord baada ya kuvunjwa kwa makubaliano ya pande zote mbili za mkataba wake na Chelsea katika dirisha la Januari, ambapo...
Mastaa wataka Maguire apewe dili jipya fasta MASTAA wenzake beki wa kati Harry Maguire wanataka mabosi wa Manchester United kuhakikisha wanampa beki huyo mkataba mpya.
Kigogo Mtibwa Sugar aachia ngazi LICHA ya timu kufanya vizuri kwa kushika nafasi ya nne katika Ligi Kuu Bara, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Mtibwa Sugar, Aboubakar Swabri amejiuzulu nafasi yake ndani ya timu hiyo.
Mbio za ubingwa EPL… Arteta amejaa hofu! KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta amekiri majeraha yanaweza kuharibu nafasi ya timu yake kutwaa mataji manne ya kihistoria msimu huu baada ya kumpoteza nyota mwingine muhimu wakati wa mchezo wa...
Gwiji Spurs amwonya kocha Igor Tudor GWIJI wa Tottenham Hotspur, Tim Sherwood, amemwonya kocha mpya wa mpito Igor Tudor kwamba kuna hasara kubwa na faida ndogo sana katika kazi yake mpya ya kuinoa miamba hiyo ya London.